Alhaji Yusufu Saidi Mfinanga wa kibaha Njuweni Pamoja na Mke wake Mama Mfinanga (Pichani juu), wamewaomba Watanzania kudumisha amani na upendo kwa kuondoa tofauti zao za kidini, kisiasa, kwani kufanya hivyo mwenyezi mungu ataendelea kuijalia amani na baraka iliyo kuwepo hapa nchini .
Kupendana kutaleta maendeleo katika nchi tuswali na kuheshimu mamlaka za serekali zilizopo kwani mafundisho ya dini zote yafundisha amani upendo na utii
0 comments:
Post a Comment