Tuesday, July 16, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Kocha wa Manchester United,  David Moyes huenda akapata pigo lingine baada ya kiungo wa FC Barcelona, Cesc Fabregas kumwambia kocha wake  Tito Vilanova kuwa anataka kubakia kwa wazee wa Katalunya.
Jana, United walithibitisha kutuma ofa ya pauni milioni 26 ili kumsajili Febregas,  nahodha wa zamani wa washika bunduki wa kaskazini mwa London, klabu ya Asernal.
Dili la kumhitaji Febregas limekuja baada ya  Thiago Alcantara kujiunga na kocha wake wa zamani Pep Guardiola  katika klabu ya Bayern Munich badala ya kujiunga ma mabingwa wa ligi kuu soka nchini England, Manchester United.
Mambo yamekuwa magumu kwa United baada ya kocha wa Barca Tito Vilanova kuweka wazi kuwa amezungumza na Febregas ambaye amesema anataka kubakia Camp Nou.
Vilanova alisema: ‘Cesc amepokea ofa kutoka klabu nyingine. Nilizungumza naye na ameniambia anataka kubakia hapa. Ndoto yake ni kutwaa makombe hapa”
“Tunafurahi kuwa na Cesc. Nafahamu amepata ofa nyingi, lakini ameniambia kuwa, ana furaja ya kuwepo Barca, hakuna haja ya kuondoka.’
United front? Fabregas is a target for new United boss David MoyesFabregas anawindwa na kocha wa Manchester UnitedbDavid Moyes
Barca boys: The Catalan giants have begun their pre-season trainingVijana wa Barca:  Miamba ya Katalunya  imeanza mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya 
Barca boys: The Catalan giants have begun their pre-season trainingMaamuzi mpya ya Fabregas kubakia  Nou Camp yamekuja baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa atajiunga na United 
Have a word: Vilanova has revealed the details of talks with former Arsenal star Fabregas Zungumza kitu: Vilanova ameweka wazi kuwa amefanya mazungumzo na mchezaji wa zamani wa Arsenal na sasa Barcelon, Fabregas na amesema anataka kubakia klabuni hapo
Have a word: Vilanova has revealed the details of talks with former Arsenal star Fabregas

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video