Wednesday, June 12, 2013

SONY DSC 
Kaimu Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Neema Rusibamayila 
(kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akifungua mafunzo kwa wanahabari kuhusu umuhimu wa kutumia dawa za kinga, tiba ambazo zitaanza kutolewa bure juni 22 hadi 27 mwaka huu na wizara hiyo katika Mkoa wa Dar es Salaam na Mwanza kupitia mpango wa taifa wa kutokomeza magonjwa ambayo yalikuwa hayajapewa kipaumbele (NTD’s). Kulia ni Mratibu wa Taifa wa magonjwa hayo, Dk. Upendo Mwingira
SONY DSC 
Mmoja wa wanahabari akichangia mada SONY DSC 
Mratibu wa Taifa wa magonjwa hayo, Dk. Upendo  Mwingira,akitoa mada kwenye semina hiyo
SONY DSC 
Ofisa Miradi wa NTD’s Dk. Edward Kirumbi akitoa mada kwenye semina hiyo 007 
Mratibu wa Elimu ya Afya Dr.Theodore Tigahwa akitoa mada yake.
SONY DSC
Wanahabari wakiandika taarifa mbalimbali za semina hiyo SONY DSC 
Watoa mada katika semina hiyo kutoka Wizara  ya Afya na Ustawi wa Jamii wakiwa katika picha ya
 pamoja na wanahabari waliohudhuria semina hiyo  ya siku moja

 (Na Philemon solomon wa Fullshangwe)
Wizara ya afya na ustawi wa jamii kupitia Mpango wa taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyo kuwa yahapewi kipaumbele, imeendesha warsha ya siku moja iliofanyika kwenye ukumbi wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa magonjwa ya binadamu jijini Dar es salaam jana, kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari hapa nchini Kuhusu ugawaji wa dawa za matende na mabusha katika mikoa ya Dar es salaam na mwanza.
Akifungua warsha hiyo kaimu mkurugenzi kinga wa wizara hiyo Dr. Neema Rusibamayila amesema kuwa, ugonjwa  wa Matende, Ngiri, Minyoo ya tumbo, Kichocho, Trakoma na usubi kwa muda mrefu yamekuwa hayapewi umuhimu unaostahili kama magonjwa mengine na wadau wa afya hapa nchini, jambo linalofanya yaendelee kusambaa katika mikoa mbalimbali na kuiathiri jamii.
Aidha Dr.Neema amesema kutokana na magonjwa hayo kuwa tishio kubwa katika jamii, wizara hiyo mkupitia mpango wake wa kudhibiti magonjwa hayo imeandaa mkakati wa kuyatokomeza hapa nchini ifikapo mwaka 2020.
Kwa upande wake mratibu wa taifa wa mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyosahaulika Dr.Upendo Mwingira amsema endapo jamii itapata elimu na kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali kupitia mpango huo, ni dhahiri kwamba magonjwa yatakomezwa na kubakia kuwa historia.
Wizara ya afya na ustawi wa jamii kupitia Mpango wa taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyo kuwa yahapewi kipaumbele, imeendesha warsha ya siku moja iliofanyika kwenye ukumbi wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa magonjwa ya binadamu jijini Dar es salaam jana, kwa wahariri na waandishi wa vyombo vya habari hapa nchini Kuhusu ugawaji wa dawa za matende na mabusha katika mikoa ya Dar es salaam na mwanza.
Akifungua warsha hiyo kaimu mkurugenzi kinga wa wizara hiyo Dr. Neema Rusibamayila amesema kuwa, ugonjwa  wa Matende, Ngiri, Minyoo ya tumbo, Kichocho, Trakoma na usubi kwa muda mrefu yamekuwa hayapewi umuhimu unaostahili kama magonjwa mengine na wadau wa afya hapa nchini, jambo linalofanya yaendelee kusambaa katika mikoa mbalimbali na kuiathiri jamii.
Aidha Dr.Neema amesema kutokana na magonjwa hayo kuwa tishio kubwa katika jamii, wizara hiyo mkupitia mpango wake wa kudhibiti magonjwa hayo imeandaa mkakati wa kuyatokomeza hapa nchini ifikapo mwaka 2020.
Kwa upande wake mratibu wa taifa wa mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyosahaulika Dr.Upendo Mwingira amsema endapo jamii itapata elimu na kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali kupitia mpango huo, ni dhahiri kwamba magonjwa yatakomezwa na kubakia kuwa historia.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video