Monday, June 17, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Wakati klabu za Manchester United, Chelsea na Real Madrid zikihaha kumsaka mshambuliaji nyota wa Borrusia Dortmund, Roberto Lewandowski ili kumsajili msimu ujao wa ligi, leo hii meneja mkuu wa klabu hiyo Hans-Joachim Watzke amesema nyota huyo atakataa kujiunga na United majira ya joto ya usajili ya  mwaka huu.
Nyota huyo tayari ameshaonesha nia ya kujiunga na mabingwa wa Bundesliga na ligi ya mabingwa barani ulaya, Bayern Munich msimu ujao, ingawa Watzke hajamuambia chochote kuhusiana na nia yake ya kuhamia kwa wekundu hao wa Allianz Arena.
Nyota huyo aliyejizolea sifa kubwa mwaka huu katika michauno ya UEFA baada ya kuwafunga Real Madrdi
 Watzke amesema klabu zinazomuwania nyota huyo kwasasa zinapoteza muda na zinatakiwa kuangalia mambo mengine kwani kwa sasa Robert hawezi kuihama klabu yake.
“Robert ataichezea klabu yake ya Borussia Dortmund msimu ujao”. Watzke ameliambia gazeti za Ujerumani la Suddeutsche Zeitung.
Staying put: Robert Lewandowski looks set to remain with Borussia Dortmund for next season 
Hatoki mtu hapa! Robert Lewandowski  anataka kubakia Borussia Dortmund msimu ujao
Robert Lewandowski
Robert Lewandowski
Ndoto ya watu Ulaya: Lewandowski anataka kumaliza mkataba wake na Dortmund ili aje kujiunga na Bayern Munich mwaka ujao
Lewandowski amefunga mabao 54 katika michezo 98 ya  Bundesliga na kuwa mchezaji wa kwanza wa Dortmund  kufunga mabao manne katika michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya hatua ya nusu fainali.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video