Thursday, June 6, 2013

Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jana walifanya ziara katika ofisi za Makao Makuu ya Mfuko huo kwa lengo la kutembelea ofisi hizo na kuangalia mazingira ya kazi.
Wajumbe walioteuliwa hivi karibuni wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Balozi Ali Mchumo, Mwanaidi Mtanda, Ezekiah Oluoch, Donan Mmbando, Mohamed Mohamed, Lydia Choma, Mohamed Hashim, Charles Kajege na Emanuel Humba ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo.
1 
3Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emanuel Humba akiongozana na Mwenyekiti wa Bodi Balozi Mchumo kukagua maeneo ya Mfuko huo 4Mkurugenzi wa Uendeshaji, Eugen Mikongoti akitoa maelezo ya namna ya kuhifadhi kumbukumbu za wanachama katika kituo cha kisasa cha Mfuko huo. 5 
Wajumbe hao wakipata maelezo kutoka kwa Ofisa wa NHIF namna ya upatikanaji wa haraka wa kumbukumbu za wanachama zinazohifadhiwa katika kituo hicho. 6 
Wajumbe wakiendelea kujifunza zaidi katika kituo cha kuhifadhia kumbukumbu. 7Mkurugenzi Mkuu Emanuel Humba akifafanua jambo wakati wa ziara hiyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video