Thursday, June 6, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Mabingwa wa soka nchini Italia, Juventus, vibibi vya Turini wamemumweka katika darubini yao mshambuliaji nyota wa klabu ya Manchester City ya England raia wa Argentina Carlos Tevez endapo watashindwa kumpata nyota wa Fiorentina ambaye pia anawaniwa na klabu za Arsena na Chelsea, Stevan Jovetic.
Tevez amebakiza mwaka mmoja tu katika mkataba wake, sawa na Javi Garcia, Edin Dzeko na Joleon Lescott ambao kwa sasa wanasikilizia ofa za kusajiliwa.
 Nyoya Jovetic mwenye umri wa miaka 23 ana thamani ya kitita cha pauni milioni 30 na Juventus wana wasiwasi mkubwa wa kupigwa bao na matajiri wa London wenye jeuri kubwa ya pesa, klabu ya Chelsea.
Coming or going: Carlos Tevez is being chased by Juventus, who are in the hunt for a striker  
Si mchezo kabisa: Carlos Tevez anafukuziwa na vibibi vya Turin, Juventus ya Italia
Prize asset: Tevez (right) joined Joe Hart (left), Vincent Kompany (centre) and Matija Nastasic (centre right) for the club's official kit launch  
Tevez (kulia) akiwa na Joe Hart (kushoto), Vincent Kompany (katikati) na Matija Nastasic (katikati kulia) wakiwa katika hafla maalumu ya klabu yao
Pivotal: Much depends on where Stevan Jovetic decides to go if he leaves Fiorentina  
Anawazisha watu balaa: Stevan Jovetic ataamua wapi aende, Arsenal, Chelsea au Juventus

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video