Hivi
ndivyo mambo yalikuwa ndani ya Ukumbi wa Nyumbani Lounch, Namanga
jijini Dar es salaam ambapo kulikuwa na bonge la show la mwanadada na
mkongwe wa tasnia ya muziki nchini Tanzania, Lady Jay Dee ambaye
anatimiza miaka 13 katika muziki na kupata mafanikio makubwa sana.
Katika show hiyo walikuwepo wanamuziki wakongwe akiwemo mheshimiwa
mbunge wa jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi a.k.a Mr.II Sugu.
Mwendo
mdundo, mwenye macho haambiwi tazama, show hii ni moto wa kuotea mbali,
pichani burudani za utangulizi zilizopamba zikiendelea kama kawaida,
huku wadau wakiendelea kupata raha tu
PICHA ZOTE NA BLOG YA MDODOSAJI
0 comments:
Post a Comment