Monday, June 17, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Beki mkongwe wa mabingwa wa soka nchini England, Manchester United, Rio Ferdinand amesema kuwa endapo wachezaji Cesc Fabregas na Robert Lewandowski ambao wamekuwa gumzo kubwa katika heka heka za usajili barani ulaya, watakuwa wachezaji bora zaidi duniani kama watakubali kujiunga na klabu ya Manchester United.
Rio  amesisitiza kuwa kama mchezaji yeyote anataka kuwa bora zaidi duniani, hana budi kupitia United, huku akimtolea mfano nyota wa sasa wa miamba ya soka nchini Hispania, Real Madrid, Mreno, Cristiano Ronaldo.
Fabregas mwenye umri wa miaka 26 na Lewandowski mwenye umri wa miaka 24 wanatakiwa sana na kocha mpya wa Manchester United, David Moyes ili kuweza kutetea ubingwa wake msimu ujao.
Rio amesema “kama United wanakufuata mchezaji ili wakusajili, lazima ukubali kwani ni sehemu ya kuwa bora”.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 34 kwa sasa ameongeza kuwa wachezaji kama Ryan Giggs, Roy Keane, David Beckham, Andy Cole, wote wamekuwa wachezaji bora kupitia United, hivyo kama nyota hao watakubali kujiunga na mashetani wekundu watakuwa bora zaidi.
Rallying plea: Ferdinand has guaranteed that incoming players will pick up the big trophies at Old Trafford 
Ferdinand amesema kuwa wachezaji wapya wanaokuja United watapata makombe mengi zaidi chini ya kocha David Moyes
Soon to be red? Lewandowski and Fabregas could be Ununited's big signings this summer 
Muda si mrefu anatua kwa wekundu? Lewandowski na Fabregas wanaweza kujiunga na United majira ya joto ya usajili barani Ulaya
Soon to be red? Lewandowski and Fabregas could be Ununited's big signings this summer
The place to be: Unsettled Madrid striker Ronaldo has been linked with a return to Old Trafford 
Naye Cristiano Ronaldo aliyejipatia umaarufu mkubwa akiwa Manchester United anasemekana kurudi klabuni hapo kufuatia kukataa kusaini mkataba mpya Real Madrid.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video