Tuesday, June 11, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Mabingwa wa ligi kuu soka nchini England, mashetani wekundu, Manchester United, wamepata matumaini mapya wa kuwana nyota wawili, Cesc Febregas na Robert Lewandowski baada ya wachezaji hao kukiri kuwa wanavutiwa na ligi kuu ya England.
Meneja mpya wa United, David Moyes anapenda kuwasajili wachezaji hao wawili  kutoka FC Barcelona na Borussia Dortmund kabla ya kikosi chake kuondoka kwenda ziarani barani Asia na Australia katikati ya mwezi ujao.
Wachezaji hao wenye kiwango cha juu, kwa nyakati tofauti wamekiri kuwa wanapenda kucheza ligi ya England yenye ushindani mkubwa, hivyo United wamefurahishwa na kauli za wachezaji hao na kujiongezea matumaini ya kuwanasa katika dirisha la usajili la majira ya joto barani ulaya.
Fabregas mwenye umri wa miaka ya 26 kwa sasa hajaonesha nia ya kurejea Arsenal alipocheza kwa miaka 8 kabla ya kurejea FC Barca, hivyo United wamejijengea imani kuwa nyota huyo atachagua Old Traford msimu ujao wa ligi barani ulaya.
Kwa upande wa Lewandowski, anataka kucheza nchini England baada ya dili la kuhamia kwa mabingwa wapya wa ligi ya mabingwa barani Ulaya, Fc  Bayern Muinch kugonga mwamba kwa madai ya Dortmund kukataa kupeleka muuaji mwingine kwa wapinzani wao wakubwa katika ligi ya Bundesliga.
Hivi karibuni Dortmund imemuuza mshambuliaji wao  hatari Mario Gotze kwa Bayern Munch, hivyo kuwapa tena Lewandowski wanaona ni kujichimbia kaburi zaidi.
United wana amini kuwa endapo nyota hao watatua Old Traford itakuwa changamoto kubwa kwa Mholanzi Robin Van Persie ambaye atakuwa anakamilisha miaka 30 akiwa na malengo ya kutetea ubingw wake alioutwaa msimu uliopita.
Double strike: Man United believe they can land Cesc Fabregas and Robert Lewandowski (below) 
Bunduki mbili za ukweli: Man United wana imani kubwa ya kuwanasa washambuliaji wawili kwa mpigo, Cesc Fabregas (juu) na Robert Lewandowski (chini)
Robert Lewandowski 
Robert Lewandowski
Challenge: Robin van Persie could do with a tough challenge for his starting berth at Man UnitedChangamoto mpya: Robin van Persie atapata changamoto kubwa katika nafasi yake ya ushambuliaji baada ya mashine hizo kuzama Old Traford
Leaving? Wayne Rooney has been linked with a move away from Manchester UnitedAnasemekana kuondoka, Wayne Rooney amekuwa akihusihwa kuondoka United na kujiunga na Arsenal, endapo atabaki United, itakuwa ngumu sana kupata namba baada ya mashine mpya kutinga

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video