Thursday, June 6, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Kocha mpya wa mashetani wekundu, Manchester United wenye makazi yao katika dimba la Old Traford jijini Manchester, nchini England, David Moyes ameweka wazi nini anataka wachezaji wake na wasaidizi wake wafanye mara atakapoanza kibarua cha kusuka mashine zake kwa ajili ya kutetetea ubingwa wa ligi kuu na michaono ya ligi ya mabingwa barani ulaya msimu ujao.
Kocha huyo wa zamani wa klabu ya Everton amesema kazi yake ya kwanza ni kujitafutaia heshima katika kikosi cha United na klabu nzima kwa ujumla.
Moyes ambaye amerithi mikoba ya Sir Alex Ferguson na kutarajiwa kuanza kazi julai mosi mwaka huu tayari ameanza kazi nyuma ya pazia.
“Kama unataka kufanya kazi na mimi, unatakiwa kukubali kufanya kazi siku saba za wiki. Nahitaji wafanyakazi wangu kujua hilo, nahitaji jitihada zao kwa hilo”. Alisema Moyes.
Pia aliongeza kuwa wachezaji lazima wawe na nidhamu kubwa, huku akiweka wazi kuwa katika kikos chake anatarajia kuwapa nafasi zaidi vijana.
Earn your stripes: Moyes says he has to earn the confidence of his big name stars at Old Trafford 
Moyes amesema anataka kujenga heshima kubwa katika klabu yake kubwa ya Manchester United
Wise words: Moyes spoke about his move to Manchester United, Wayne Rooney, diving and a lot more
Je, ataweza kulinda heshima ya Sir Alex Ferguson pale United?
Big boots to fill: Moyes will guide the champions on the defence of their title in 2013-14 
Viatu vizito kavaa: Moyes atakiongoza kikosi cha United kutetea ubingwa wake katika msimu wa 2013-14
Big boots to fill: Moyes will guide the champions on the defence of their title in 2013-14
Big boots to fill: Moyes will guide the champions on the defence of their title in 2013-14

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video