Na Baraka Mpewnja kwa msaada wa Sportsmail.com
Michuonp
ya kuwania kombe la shirikisho la FIFA inayofanyika kwa wazee wa Samba
“The Samba Boys” nchini Brazil imeanza kutimua vumbi rasmi usiku wa
jana.
WENYEJI Brazil Jana Usiku walianza kwa kishindo Mechi yao ya KUNDI A iliyochezwa
Estadio
Nacional de Brasilia Mjini Brasilia kwa kuwatandika Mabingwa wa Asia
Japan mabao 3-0 na kuibua shangwe kubwa mashaniki wa timu hiyo ambao kwa
muda mrefu hawajapata mafanikio makubwa .
Mabao
ya Brazil yalifungwa na Neymar, kwa Bao safi sana la Dakika ya 3 tu, na
Paulinho kupiga Bao la Pili katika Dakika ya 48 na Jo kufunga la mwisho
katika Dakika za Majeruhi.
Leo
Usiku zipo Mechi mbili kati ya Mexico v Italy, KUNDI A, na kufuatiwa na
ya KUNDI B kati ya Mabingwa wa Dunia Spain v Uruguay.
VIKOSI:
BRAZIL: Julio Cesar, Dani Alves, Thiago Silva, Luiz, Marcelo, Oscar, Gustavo, Paulinho, Fred, Neymar, Hulk.
Akiba: Jefferson, Fernando, Lucas Moura, Hernanes, Dante, Filipe Luis, Jean, Rever, Bernard, Jo, Jadson, Cavalieri.
JAPAN: Kawashima, Konno, Nagatomo, Uchida, Yoshida, Endo, Honda, Kiyotake, Kagawa, Hasebe, Okazaki.
Akiba: Nishikawa, Inoha, Gotuko Sakai, Havenaar, Hosogai, Nakamura, Kurihara, Maeda, Inui, Takahashi, Hiroki Sakai, Gonda.
Refa: Pedro Proenca (Portugal)
Shangwe kubwa: Mlinzi wa Chelsea , David Luiz akishangilia bao pamoja na wenzake
Paulinho akiandika kimiani bao la pili kwa wazee wa Samba
Mchezaji wa zamani Manchester City Jo tucked akizamisha nyavuni bao la tatu
Kufungwa
kunauma sana: mchezaji wa Southampton na timu ya taifa ya Japan, Maya
Yoshida akishika nyavu kwa huzuni baada ya kufungwa bao la tatu
0 comments:
Post a Comment