Friday, May 17, 2013

 https://zittokabwe.files.wordpress.com/2012/04/zkwasanii2.jpg
Mbunge wa Kigoma Kaskazini na naibu katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Zitto Kabwe ameoneshwa kushangazwa na serikali kugawa vitalu vya mafuta na gesi asilia kabla ya wabunge kushirikishwa.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari,Mheshimiwa Zitto amesema hatua iliyochukuliwa na serikali inapingana na maamuzi ya bunge ambayo ilizuia ugawaji wa gesi asilia mpaka sera na sheria ya nishati hiyo ikamilishwe.
Mbunge huyo amesema zabuni hiyo ya utafutaji wa mafuta na gesi asilia  ni vile vilivyoko kwenye Bahari kuu na Ziwa Tanganyika Kaskazini.
Mheshimiwa Zitto amesema wabunge wamealikwa kwenye semina ya gesi asilia lakini litakuwa ni jambo la kushangaza kama wabunge watakimbilia posho za semina hiyo na kuhalalisha maamuzi yasiyo zingatia maslahi ya Taifa Kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
Aidha amewashauri wabunge kupinga kwa nguvu zote uamuzi wa serikali wa  kugawa vitalu vipya bila kwanza kuwepo Kwa sera na Sheria mpya ya mafuta na gesi asilia.
Wakati semina ikifanyika jumamosi wiki hii tayari wizara ya  nishati na madini ikitaraji kuwasilisha baje 22 - 23 Mei 2013.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video