Tuesday, May 21, 2013

Mfanyabiashara wa maji aliyetambulika kwa jina la Kigira Mhisho(15) akimwaga maji baada ya kubainika kuwa anauza maji bandia. PIX 1mwaga maji PIX 2 wakimhoji 
Wananchi wakimuhoji mfanyabiashara wa maji aliyedaiwa kuuza maji feki tukio hili limetokea leo jijini Dar es Salaam. PIX 3wananchi wakiangalia 
Wananchi wakifuatilia mzozo baina ya mfanyabiashara wa maji na mteja wake baada ya kubainika kwamba amemuuzia maji bandia.Mfanyabiashara huyo ametambulika kwa jina la Kagira Mhisho mwenye umri wa miaka 15 inaseemekana kuwa amekuwa akifanya biashara hiyo kwa kutumia maji kutoka sokoni kariakoo kwa takribani miaka mitatu sasa.Ninvyema wananchi wakajihadhari na maji yanayouzwa njiani kwani baadhi ya wafanyabiashara wasiowaaminifu huokota chupa zilizokwisha tumika na kuzitumia.Ninashauri vyombo husika katika ukaguzi na kujali afya za walaji kuingilia kati ili
kuepusha wananchi kupata maradhi mbalimbali.
(PICHA NA Frank Shija – MAELEZO)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video