Thursday, May 2, 2013

 http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2012/08/Wadau-wa-elimu-wakifuatilia-hotuba-hiyo-live-kabla-ya-mjadala.jpg
Na Gervas Mwatebela, Dar es salaam
Wadau wa elimu wametakiwa kutoa ushirikiano wa dhati kwa taasisi za sekta hiyo kwa minajili ya kuboresha hali ya elimu hapa nchini.
 Mwenyekiti wa mfuko wa kijamii wa walimu  TGTF  bwana Ephraim Mwikuka alisema mazingira ya sasa ya elimu yana changamoto kubwa kwa upande wa waalimu na wanafunzi hivyo kuhitaji nguvu za pamoja kuzitatua.

Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa TGTF imejipanga kushirikiana na serikali na jamii katika kuboresha mazingira ya elimu ya  msingi na sekondari hapa nchini.

Bwana Mwikuka amewataka watanzania kuacha kulalamika bali wachukue hatua  katika kukabiliana na taasisi,jumuiya na serikali kwa ujumla kutatua changamoto za kielimu katika jamii.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video