Saturday, May 18, 2013

Kutoka blog ya Lindi Yetu

clip_image003
Mashabiki wa Yanga na Simba leo asubuhi walizidisha utani kiasi cha kuanza kuchapana makonde eneo la Mwebeyanga, kiasi cha shabiki wa Yanga kukatwa kidole.
Habari zingine tulizozipata kutoka kwa wadau wa soka wamesema katika tawi kongwe la Mwembe Yanga, wanachama wa Yanga wa tawi hilo, wamekesha wakinuwiza ubani kwa lengo la kuitakia mema hasa ushindi dhidi ya watani wao wa jadi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video