Thursday, May 2, 2013

Na Baraka Mpenja kwa Msaada wa Sportsmail.com
Hakuna kushangaa hapa!!
Fainali ya UEFA mwaka huu katika dimba la Wembley ni wajerumani tu, wekundu wa kusini mwa nchi hiyo Fc Bayern Munich na nyuki wa kaskazini mashariki Borussia Dortmund.
Ilikuwa burudani ya aina yake katika dimba la Camp Nou nchini Hispania ambapo FC Barcelona walikuwa wanahitaji ushindi wa mabao matano kwa bila dhidi ya Munich baada ya kufungwa 4-0 katika mchezo wa kwanza,  halafu wakaambulia kipigo cha pili tena cha mabao 3-0.
Kikubwa ambacho kinasemwa leo baada ya kipute hicho ni kuwa bila Messi timu yoyote ingekuwa na hofu, hicho ndicho kilichowapata Barca jana hata kama Xavi na Andres Iniesta walikuwemo ambao ndio mhimili mkubwa wa kikosi hicho cha wakatalunya.
Leo hii kocha wa Barca Tito Vilanova alijitetea kwa kitendo chake cha kumchezesha Messi katika mchezo wa ligi kuu Hispani wikiendi iliyopita licha ya kuwa na maamivu ya msuli wa paja, na hapo jana nyota huyo alilazimika kukaa benchi kwa madai ya kuwa majeruhi.
“Alicheza dhidi ya Bilbao ambapo tulitoka 2-2, alionekana kuwa vizuri lakini mwishoni mwa mchezo alibadilika na kuonekana ana maumivu makubwa, jana kulikuwa hakuna jinsi licha ya kumhitaji sana”. Alisema Vilanova.
Vilanova aliendelea kusema kuwa hata ungekuwa na kikosi cha wachezaji wazuri kiasi gani huwezi kushinda mataji yote, kufungwa kupo na wao wamekubali kufungwa na wanadhani Bayern wako vizuri zaidi msumu huu.
Wembley, here we come: Arjen Robben (centre) celebrates after opening the scoring at the Nou Camp 
Wembley tunaenda zetu: Arjen Robben (katikati) akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza Nou Camp jana 
Fussball's coming home: Bayern secured an all-German Champions league final against Borussia Dortmund 
Soka larudi nyumabini kwao: Bayern na Dormund fainali mwaka huu
Hamstrung: Lionel Messi (right) was left on the bench despite Barca's need to overturn a four-goal deficit 
Lionel Messi (kulia) alikaa benchi licha ya timu yake kuhitaji ushindi wa mabao matano kwa yai ili kusonga mbele
 VIKOSI
Barcelona: Valdes, Dani Alves, Pique, Bartra (Montoya 87), Adriano, Xavi (Sanchez 55), Song, Iniesta (Thiago 64), Villa, Fabregas, Pedro.
Subs: Pinto, Messi, Jonathan, Montoya, Tello.

Booked: Dani Alves, Pique

Bayern Munich: Neuer, Lahm (Rafinha 77), Boateng, Van Buyten, Alaba, Javi Martinez (Tymoschuk 74), Schweinsteiger, (Gustavo 66) Robben, Muller, Ribery, Mandzukic.

Subs: Starke, Dante, Shaqiri,Gomez.

Goals: Robben 49, Pique o.g. 72, Muller 76

Booked: Robben

Referee: Damir Skomina (Slovenia)
Watazamaji: 90,000
That's all we kneed: Gerard Pique (third right) scored an embarrassing own goal in the second half 
Gerard Pique (watatu kulia) aljifunga bonge la goli jana kipindi cha pili cha mchezo
Hang your head: Barca goalkeeper Victor Valdes screams in frustration after Pique's gaffe 
Golikipa wa Barca, Victor Valdes akibwatuka baada ya Pique kujifunga
Salt in the wounds: Bayern's Thomas Muller (centre left) headed in a third goal late on
'Proud of Barca!': Barcelona's fans packed out the Nou Camp in the hope of seeing a comeback 
Mashabiki wa Barca walikuwa na matumaini makubw aya kuibuka na ushindi jana 
London calling: Bayern Munich goalkeeper Manuel Neuer (left) and his team-mates have a final date

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video