Monday, May 20, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Kocha mkuu wa mabingwa wa soka nchini Hispania, wazee wa Katalunya, FC Barcelona, Tito Vilanova ameondoka leo kwenda jijini New York nchini Marekani ili kupata matibabu zaidi ya ugongwa unaomsumbua, saratani ya ini.
Tito alitakiwa aende baada ya msimu kumalizika, lakini klabu imeamua kumpeleka wiki ijayo kwani tayari FC Barca imeshatwaa kombe la La Liga.
Vilanova atakaa Marekani kuanzia leo hii mpaka ijumaa akipata matibabu zaidi nchini humo.
Vilanova alishindwa kuiongoza Barca kwa wiki sita msimu huu baada ya kukaa katika matibabu mapema mwaka mwaka huu, lakini mechi ya mei 29 atakuwa Hispania na kuiongaza klabu yake mbele ya Espanyol.
Vilanova mara nyingi amelaumiwa kwa upangaji wa kikosi chake hususani katika michuono ya ligi ya mabingwa barani ulaya dhidi ya Bayern Muinich ambapo mchezo wa kwanza walifungwa mabao 4-0 uwanja wa Allianz Arena na mechi ya marudiano Camp Nou wakachapwa 3-0 na kutolewa kwa wastani wa mabao 7-0.
Katika mechin ya Marudiano Vilanova alimuweka benchi nyota wake Lionel Messi na kuzua gumzo kubwa miongoni mwa mashabiki wengi wa kandanda duniani.
Treatment: Barca boss Tito Vilanova will undergo further cancer treatment next weekMATIBABU: Bosi wa Tito Vilanova ameondoka leo kwenda Marekani kupata matibabu zaidi
Bus parade: Vilanova with assistant coach Jordi Roura (left), and fitness trainer Juanjo Brau (right) on the victory parade through the streets of Barcelona 
WAKIWA KATIKA BASI LAO: Vilanova na msaidizi wake Jordi Roura (kushoto), na kocha wa mazoezi ya viungo Juanjo Brau (kulia) wakiwa katika basi la Baraca siku ya kushangilia ubingwa wao huku mashabiki wao wakijipanga katika barabara za mji wa katalunya
Early treatment: The treatment was scheduled for the summer but as Barca have won the league it has been brought forward

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video