Monday, May 6, 2013

Na Baraka Mpenja Kwa Msaada wa Sportsmail.com
Nyota wa watukutu wa London Tottenham Hospur, baada ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa chama cha soka England nchini Uingereza na tuzo ya mwanasoka bora chipkizi, mambo yanazidi kuwa mazuri kwake na anaweza kutwaa tuzo nyingine ya goli bora za msimu baada ya bao lake kutajwa.
Nyota huyo amekuwa mhimili mkubwa kwa klabu yake msimu huu na baada ya kufunga bao katika mchezo wa jumamosi ya wiki iliyopita dhidi ya Southampton amekuwa mchezaji wa kwanza kuifungia klabu hiyo mabao 20 katika msimu mmoja wa ligi tangu ambapo Jurgen Klinsmann  msimu 1994-95 alifanya hivyo.
Hot Spur: Bale continued his golden season with the late winner against Southampton on Saturday 
Bale ameendelea kufanya vizuri msimu huu na hilo juu ni bao lake alilofunga jumamosi ya wiki ilioyopita
Double winner: Bale capped a remarkable season by winning the Player and Young Player of the Year awards 
Tuzo mbili sio mchezo: Bale ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa PFA na mchezaji bora chipkizi wa chama cha soka England
Trademark celebration: Bale has kept Tottenham in the Champions League hun

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video