Tuesday, May 21, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportmail.com, Soka In Bongo
Sasa ni nafasi pekee kwa kocha mwenye meneno mengi, mtu maalumu, Mario Jose Dos Santos Ferlix Mourinho kurejee tena katika ligi ya England msimu ujao.
Rais wa Real Madrid Florentino Perez leo ametangaza kuondoka kwa Kocha wao Mkuu Jose Mourinho kufuatia makubaliano ya pande zote mbili.
Akihutubia Wanahabari waliojazana, Perez alisema: “Tumeamua kumaliza uhusiano wetu. Hakuna Mtu aliyefukuzwa kazi, ni makubaliano ya pande mbili.”
Wakiwa wamebakisha Mechi 2 za La Liga, Real Madrid wako Nafasi ya Pili na Pointi 13 nyuma ya Mabingwa FC Barcelona na Ijumaa iliyopita walitwangwa 2-1 kwenye Fainali ya Copa del Rey na Mahasimu wao Atletico Madrid.
MOURINHO NA MATAJI:UCL: 2004 (Porto), 2010 (Inter Milan), UEFA CUP: 2003 (Porto), BPL: 2005, 2006 (Chelsea), FA CUP: 2007 (Chelsea), LEAGUE CUP: 2005, 2007 (Chelsea), LA LIGA: 2012 (Real Madrid), COPA DEL REY: 2011 (Real Madrid), SERIE A: 2009, 2010 (Inter Milan), COPPA ITALIA: 2010 (Inter Milan), PRIMEIRA LIGA: 2003, 2004 (Porto), TACA DE PORTUGAL: 2003 (Porto)
Katika Miaka mitatu aliyodumu Real, Mourinho alishindwa kuivusha Real zaidi ya Nusu Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI kwa kutolewa katika hatua hiyo katika Misimu yote hiyo na Msimu huu ilishikishwa adabu na Borussia Dortmund kwa kuchapwa Bao 4-1 huko Germany na wao kujitutumua na kushinda 2-0 Nyumbani kwao.
Kabla Mourinho kutua Real Madrid, Klabu hiyo ilikaa Miaka miwili bila Taji lolote na alipofika yeye wakatwaa Copa del Rey Mwaka 2011 na kufuatia Ubingwa wa Spain wa La Liga Mwaka 2012 lakini Msimu huu ametoka patupu ukiachia Super Cup.
Inaaminika Jose Mourinho anarudi Klabu yake ya zamani huko England, Chelsea, na hapo Real atatua Carlo Ancelotti kutoka PSG ingawa haujapatikana uthibitisho rasmi mbali ya PSG kumkatalia Ancelotti kuhama.
Special gone: Jose Mourinho has been sacked as Real Madrid manager, with a return to Chelsea on the cards 
MTU MAALUMU: Jose Mourinho ameachishwa kazi Real Madrid ana sasa anarudi Chelsea kwa raha zake. Furaha kwa mashabiki wa klabu hiyo yenye makazi jijini London
Mourinho
Early bath: Mourinho was sent off in Real's 2-1 Copa Del Rey final defeat by Atletico  
Mourinho alipooneshwa kadi nyekundu katika mchezo wa fainali ya Copa Del Rey ambapo alipoteza mabao 2-1 dhidi ya Atletico.
Rais Perez anategemea kumteua kocha wa Paris Saint-Germain Carlo Ancelotti ili achukua mikoba ya Jose Mourinho.
“Lazima tumshukuru Mourinho kwa kazi nzuri na kujituma zaidi, katika miaka mitatu aliyokaa hapa, ameifanya timu iwe bora sana, tunamkatakia kila la heri”. Alisema Perez leo hii.
Taking his place: PSG boss Carlo Ancelotti is lined up to be the man to step into Mourinho's shoes 
ANABEBA MIKOBA:  Kocha wa PSG  Carlo Ancelotti  anatajwa kurithi mikoba ya Jose Mourinho
Come home: Mourinho's return to Chelsea would be a popular move among the Stamford Bridge crowd 
NJOO NYUMBANI: Mourinho kurudi Chelsea itakuwa furaha kubwa kwa mashabiki wa klabu hiyo wanamuota kila siku
Damning verdict: Florentino Perez at the press conference 
Florentino Perez  akiwa katika mkutano na waandishi wa habari leo hii: “Lazima tumshukuru Mourinho kwa kazi nzuri na kujituma zaidi, katika miaka mitatu aliyokaa hapa, ameifanya timu iwe bora sana, tunamkatakia kila la heri”. Alisema Perez leo hii.Celebrating: But could Cristiano Ronaldo be on his way to Stamford Bridge with Mourinho? 
Cristiano Ronaldo anasemekana anaweza kuambatana na Mourinho Chelsea, lakini United nao wanatajwa kumrejesha nyota huyo

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video