Wednesday, May 1, 2013

Talented: Barcelona's squad still remains the best in Europe
Na Gervas Mwatebela kwa msaada wa Mtandao
Wakati timu ya Barcelona ya Hispania  ikitaraji kushuka ugani usiku wa leo kupambana na Bayern Munich ya Ujerumani katika mechi ya marejeano ligi ya mabingwa Ulaya imekiri kuwa kutinga fainali kunategemea ubora wa Messi siku hiyo.
Katika mechi ya awali miamba hiyo ya Catalunya iliambulia kichapo cha magoli 4 – 0 katika mechi ya kwanza iliyochezwa dimba la Allianz Arena.
Kocha msaidizi wa BARCA Jordi Roura amesema afya ya mchezaji huyo imekuwa ikiimarika lakini anaamini atakuwa fiti kwa mchezo huo utakaochezwa katika uwanja wao wa nyumba NOU CAMP.
‘messi ni mchezaji bora duniani hivyo asipokuwepo dimbani utaona tofauti na akiwepo dimbani utajua utofauti wake’.
Kutokuwa fiti kwa asilimia 100 kwa Messi katika mchezo uliopita dhidi ya Bayern Munich ni miongoni mwa kinga kwa makocha wa Barcelona kupoteza mechi hiyo.
BARCA watahitaji ushindi wa magoli 5 - 0 ili kufuzu fainali ushindi wa magoli 4 - 0 katika dakika 90 utawapeleka dakika 30 za nyongeza ikishindikana hapo ni changamoto ya mikwaju ya penati kuamua mshindi.Lionel Messi na Xavi Hernandez wamekiri ugumu uliopo katika kubadili matokeo hayo.
 Downbeat? But Andres Iniesta is another exceptional player

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video