Saturday, May 25, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Kocha machachari na mwenye maneno mengi Mario Jose Dos Santos Mourinho anamkodolea macho mchezaji  Kiungo Luka Modric wa Real Madrid ili aondoke naye kuelekea zake klabu ya Chelsea.
Mourinho alithibitisha wiki iliyopita kuwa anaondoka Real na anataka mchezaji huyo wa zamani wa klabu ya Tottenham kuambatana naye katika safari yake hiyo ya kuelekea darajani.
Kiungo huyo mwenye uwezo mkubwa ataigharimu Chelsea pauni milioni 30 ili kutia maguu yake darajani.
Habari za ndani kutoka klabu ya Chelsea zinaeleza kuwa “Mourinho yuko makini kufuatilia suala la Modric na lazima atue nae darajani, tunajua ni kazi ngumu sana lakini tunamuamini sana kocha wetu”.
Modric mwenye miaka 27 hajafanya kubwa sana nchini Hispania, lakini Mourinho bado amejenga imani kubwa sana licha ya kucheza mechi 31 tu katika msimu wa ligi kuu ya La Liga.
Return: Both Modric and Mourinho could make a swift return to the Premier LeagueWANARUDI : Modric na Mourinho wote wanatarajiwa kurudi ligi kuu soka nchini Uingereza League
Return: Both Modric and Mourinho could make a swift return to the Premier League 
Mourinho yuko makini kumuwinda Modric ili asepe naye kuelekea Chelsea
Disappointing: Modric's time in Madrid has been tough, but Mourinho has always liked the Croatian 
Modric amekuwa na msimu mgumu sana Real Madrid lakini Mourinho bado ana imani kubwa sana na nyota huyo raia wa Croatia

Disappointing: Modric's time in Madrid has been tough, but Mourinho has always liked the Croatian 
Chelsea  wana Historia ya kumhitaji Modric na mnamo mwaka 2011 walituma ofa mbili lakini Spurs walizitupilia mbali
Come back: Chelsea fans have made their feelings about Mourinho clear 
ANARUDI: Mashabiki wa Chelsea wameonesha nia ya kumtaka  Mourinho  darajani

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video