MISS KIGAMBONI WAENDELEA KUJIFUA NAVY BEACH Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Kigamboni wakiwa kwenye mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na kinyang’anyiro hicho kitakachofanyika Ijumaa Juni 7 mwaka huu kwenye ukumbi wa Navy Beach ulioko Kigamboni. Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Kigamboni wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao kwa ajili ya kujiandaa na kinyang’anyiro hicho kitakachofanyika Ijumaa Juni 7 mwaka huu kwenye ukumbi wa Navy Beach ulioko Kigamboni.
0 comments:
Post a Comment