Thursday, May 23, 2013



Intermillan
Rais wa klabu ya Intermillan  Massimo Moratti leo   kupitia vyombo mbalimbali vya habari amedokeaa kuwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Manchester City  Robeto Macini huenda akachukua nafasi ya kocha mkuu wa klabu hiyo,  Andrea Stramaccion mwishoni mwa msimu huu

Massimo Moratti - FC Internazionale Milano v Rappresentativa Trentino - Preseason Friendly
Pichani, rais wa klabu ya Intermillan,   Massimo Moratti  
Akiongea  waandishi wa habari  Massimo Moratti ameweka wazi kuwa bado nia yao kubwa ya kutaka kumsajili kocha wa zamani Manchester City iko paleple na wala hawana lengo la kumsajili kocha mwingine kama vyombo mbalimbali  vya habari vilivyokuwa vikiripoti.
 
Lakini Moratti  alipoulizwa kama Macini ni chaguo sahihi kwa klabu yake, alisema  kwaa upande wake anaamini ni chaguo sahihi, huku akisisitiza kuwa  maamuzi ya mwisho wa kandarasi wa klabu hiyo kwa sasa Andrea Stramaccion bado hayajafikiwa rasmi.


Manchester united.
Baada ya nyota wa soka wa klabu ya Manchester United , Wayne Rooney, kutangaza nia ya kuihama klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu, klabu ya Chelsea pamoja nao Bayern Munich wametangaza nia ya kumsahinisha nguli huyo.
Betting Special: Europa League Champions to bolster title challenge with Rooney signing
Wayne Rooney.
Rooney ambaye amefanikiwa kuchukuwa vikombe vya ligi kuu nchini Uingereza  mara tano tangu ajiunge na klabu ya mashetani wekundu amesema licha ya kuwepo kwa tetesi hizo kutoka Chelsea na Bayern Munich, yeye anavutiwa zaidi  zaidi na klabu ya PSG kwani anahisi huko ndiko wanaweza kumlipa vizuri lakini anafurahia kuungana na mshambuliaji wa klabu hiyo Zlatan Ibrahimovic.


        EXLUSIVE:

Pichani hapo juu ni Rooney akiwa kwenye pozi na familia yake.


Mzee mzima Rooney amefanikiwa kumpata mtoto mwingine wa kiume juzi  Jumatatu  May 20, 2013 na kufikisha idadi ya watu wannne katika familia hiyo. 

Aidha mke wake Rooney, Coleen Rooney amesema binafsi  anamshukuru Mungu kwa kumpa mtoto mwingine wa kiume 'Klay' na kufanya idadi ya watoto wao kufikia wawili. Mtoto wa kwanza wa Rooney anaitwa Kai, alizaliwa mwaka 2009

 
Mchezaji wa zamani wa kati wa klabu ya Borussia Dortumund Steffen Freund amesema  baada ya klabu ya Bayern Munich kutolewa  kwenye fainali ya  klabu bingwa barani Ulaya na klabu ya Chelsea mwaka jana, kwa sasa anaamini klabu hiyo ina usongo mkubwa kueleke fainali ya klabu bingwa ulaya  dhidi Borussia Dortumund itakayochezwa jumamosi  hii dimbani WEMBLEY.

Bayern under tremendous pressure, says Freund
Baadhi ya wachezaji Bayern  Munich wakisikitika baada ya  kupoteza UEFA dhidi ya Chelsea 2011/2012.
Steffen Freund ambaye pia kwa sasa ni kocha msaidizi katika klabu ya  Tottenham  amesistiza kuwa  licha ya Bayern kupewa kipaumbele katka fainali hiyo, Borussia Dortmund nao siyo wa kubezwa kwani kwa sasa wamekuwa katika hali nzuri toka hatua ya makundi ya michuano hiyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video