Sunday, May 19, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com, Soka In Bongo

SPURS KUCHEZA EUROPA LIGI!
SIR ALEX AAGWA KWA SARE YA 5-5 NA WBA!!
RVP ATWAA BUTI LA DHAHABU!!

BPL, Barclays Premier League, leo imemaliza Msimu wake wa 2012/13 kwa kukamilisha idadi ya Timu 4 za kucheza UCL,UEFA CHAMPIONZ LIGI, Msimu ujao kwa Chelsea na Arsenal kuungana na Mabingwa Manchester United na Manchester City na kuitupa Tottenham kucheza EUROPA LIGI.
Kabla ya Mechi za leo tayari alishapatikana Bingwa ambaye ni Man United na Mshindi wa Pili ni Man City na Timu zilizoshushwa Daraja ni Wigan, QPR na Reading.
Kilichobaki kilikuwa kinyang’anyiro cha Nafasi za 3,4 na 5 ambapo Chelsea imefanikiwa kukamata ya Pili na Arsenal ya 4 hivyo kucheza UCL lakini Chelsea, pamoja na Man United na City, zitacheza Makundi, na Arsenal kuanza hatua ya Raundi ya Mchujo na ikifuzu itaingia Makundi.
Tottenham, kwa kumaliza Nafasi ya 5, itacheza EUROPA LIGI kuanzia Hatua ya Mchujo.
Katika Mechi 10 za leo Jumla ya Mabao 36 yalifungwa huku Mechi ya mwisho kwa Sir AlexFerguson akiwa Meneja wa Man United kumalizika kwa sare ya Bao 5-5 walipocheza ugenini na West Bromwich Albion ambayo pia ilimuhakikishia Straika wao hatari Robin van Persie alieifungia Man United Bao moja hii leo akimaliza Msimu akiwa na Bao 26 na hivyo kunyakua Buti ya Dhahabu kwa kuwa Mfungaji Bora wa BPL Msimu huu.
Van Persie anafuatiwa na Luis Suarez wa Liverpool mwenye Bao 23 na Gareth Bale wa Tottenham mwenye Bao 21.
MATOKEO: Jumapili 19 Mei, Chelsea 2 Everton 1, Liverpool 1 QPR 0, Man City 2 Norwich 3, Newcastle 0 Arsenal 1, Southampton 1 Stoke 1, Swansea 0 Fulham 3, Tottenham 1 Sunderland 0, West Brom 5 Man United 5, West Ham 4 Reading 2 na Wigan 2 Aston Villa 2
I'm off: Sir Alex Ferguson absorbs the standing ovation from United's fans at the final whistleNIMEMALIZA KAZI YANGU: Sir Alex Ferguson akiwatazama mashabiki wa united na kuwaonesha ishara ya kwaheri baada ya kustaafu kuifundisha klabu hiyo huku David Moyes akirithi mkioba yake
I'm off: Sir Alex Ferguson absorbs the standing ovation from United's fans at the final whistle
Stepping away: Ferguson boards the team bus for the final time as a manager as they leave 
ANASEPA ZAKE: Ferguson akipanda basi la timu kwa mara ya mwisho akiwa meneja wa United
Take a bow: Fergie praises the United fans who travelled to West Brom on the final day 
Fergie akiwatukuza mashabiki wa United waliosafiri kuwafuata West Brom
Sign of the times: A United fan shows it's soon time for David Moyes to clock on at Old Trafford 
Mashabiki wa United wakionesha muda kuwa  David Moyes amekaribishwa  Old Trafford
Farewell: Incoming David Moyes gestures to the Everton fans after losing 2-1 at Chelsea 
David Moyes  ndivyo alivyoonekana leo baada ya kupoteza mchezo wa mwisho kwa kufungwa mabao 2-1 na Chelsea, amemaliza muda sasa anakwenda United
Farewell: Ferguson was given a guard of honour by both teams prior to the match 
KWAHERI: Ferguson alipewa heshima yake na timu zote kabla ya mechi kuanza
Tributes: Banners, flags and scarves featuring Ferguson messages are in abundance at The Hawthorns

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video