Saturday, May 4, 2013

Na Baraka Mpenja wa msaada wa Sportsmail.com, soccerstand.com

ARSENAL na TOTTENHAM, leo kwenye BPL, Barclays Premier League, zimepata ushindi wa Bao 1-0 kila mmoja na kuzidi kuleta msisimko wa nani watamaliza 4 Bora pamoja na Mabingwa Manchester United, hasa baada ya Man City kutoka sare iliyoleta hati hati kuwa hata wao wanaweza wakaikosa nafasi ya Pili.
Lakini kivutio cha leo ni Bao la Theo Walcott alipofunga Goli hilo katika Sekunde ya 20 na kumpiku Robin van Persie aliefunga Bao katika Sekunde ya 32 Man United ilipoifunga West Ham 1-0 Novemba 28 na hivyo Walcott kushika Rekodi ya Bao la haraka kwenye BPL Msimu huu.
Bao ambalo ndilo linashika Rekodi ya kuwa Bao la haraka kupita yote kwenye Historia ya BPL ni lile la Beki wa Tottenham, Ledley King, alipofunga katika Sekunde ya 10 hapo Desemba 9, Mwaka 2000 Tottenham walipotoka sare ya 3-3 na Bradford City.
Off to a flyer: Theo Walcott slides the ball past Queens Park Rangers stopper Rob Green with only 20 seconds gone Theo Walcott akifunga bao pekee katika ushindi wa leo dhidi ya t Queens Park Rangers
VIKOSI KATIKA MCHEZO WA LEO
QPR: Green, Ben Haim, Onuoha, Hill, Traore (Da Silva 90), Townsend, Jenas, Mbia (Derry 46), Remy, Park (Taarabt 79), Zamora.
Subs : Murphy, Mackie, Granero, Bothroyd. Booked: Derry, Jenas.
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Ramsey, Arteta, Rosicky (Vermaelen 90), Walcott, Cazorla (Wilshere 89), Podolski (Oxlade-Chamberlain 85).
Subs : Mannone, Coquelin, Jenkinson, Gervinho.
Referee: Jon Moss (W Yorkshire).
Not messing around: Walcott (centre) celebrates his first minute goal with Bacary Sagna and Aaron Ramsey 
Walcott (katikati) akishangia bao lake la sekunde ya 20 pamoja na wachezaji wenzake Bacary Sagna na Aaron Ramsey 
Plenty to smile about: Arsenal are beaming in the sunshine as they celebrate a first minute goalWAKIFURAHI ZAIDI: Wachezaji wa Arsenal wakionesha furaha yao baada ya mchezo huo kumalizika
Net gains: Walcott's 20-second strike is the quickest goal of the Premier League this season  
Bao la  Walcott  sekunde ya  20 ambalo ni bao la pili msimu huu wa ligi kufungwa mapema zaidi
Sasa msimamo wa timu za juu umekuwa kama hapo chini
Table
All smiles: Arsene Wenger looks on in the beaming sunshine at Loftus Road 
Arsene Wenger akitabasamu baada ya kuibuka kidedea na kupanda mpaka nafasi ya tatu ya msimamo wa ligi kuu soka nchini England.
On the attack: Santi Cazorla fires a long-range effort at Green's goal in the first half Santi Cazorla akipiga mashine ya ukweli lakini hakufunga bao
That's handy: Wenger exchanges pleasantries with harry Redknapp before this evening's game  
Wenger akisalimiana na kocha wa QPR Harry Redknapp kabla ya mchezo wa leo
Theo Walcott
 KAZI KWISHA:  Walcott akishangilia ushindi wa leo 
Hang time: Arsene Wenger struggles to contain his emotions as Arsenal bid for a 16th season of Champions League football  
Arsene Wenger akifoka katika mchezo wa leo
Up for the battle: QPR restricted Arsenal to just one goal and were unfortunate not to get anything from the game  
Moja kati ya shughuli za leo uwanjani baina ya wachezaji wa Arsenal na QPR
Up for the battle: QPR restricted Arsenal to just one goal and were unfortunate not to get anything from the game
MATOKEO MENGINE YA LEO
England: Premier League
   
Finished
West Ham
0-0
Newcastle United
(0-0)        
   
Finished
Swansea
0-0
Manchester City
(0-0)        
   
Finished
Norwich
1-2
Aston Villa
(0-0)        
   
Finished
Fulham
2-4
Reading
(0-1)        
   
Finished
West Bromwich Albion
2-3
Wigan
(1-1)        
   
Finished
Tottenham
1-0
Southampton
(0-0)        
   
Finished
Queens Park Rangers
0-1
Arsenal

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video