Saturday, May 25, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com

Kiungo gwiji wa klabu ya Chelsea, wazee wa London, Frank James Lampard amesema mchezaji mwenzake mkongwe wa klabu hiyo na nahodha John Terry atafuata nyayo zake kwa kusaini mkataba mpya wa kuichezea klabu hiyo.
Kiungo huyo wa timu ya taifa ya Uingereza aliongezewa mkataba wa mwaka mmoja kukaa darajani baada ya kuvunja rekodi ya Bobby Tambling kwa kufunga mabao mengi zaidi ambayo kwa sasa ni mabao203.
John Terry aliyesumbuliwa sana na majeruhi msimu uliopita, hakuwa na nafasi katika kikosi cha kwanza kocha mpya wa klabu hiyo Rafa Benitez.
Lampard ameliambia gazeti la The Sun kuwa ” najua JT anataka kuendelea kukaa Chelsea, anaipenda sana klabu yake na anajisikia vizuri kukaa hapa kama mimi”.
Lampard na Terry ni malejendari wa Chelsea na wameisadia kutwaa ubingwa ligi kuu mara tatu, ligi ya mabingwa barani ulaya, ligi ya Uropa, kombe la FA na kombe la Ligi, hivyo Lampard anaamini mchango wao katika klabu yao ni mkubwa sana na watabaki klabuni hapo.
American dream: Frank Lampard (left) is in the States with Chelsea for their post-season tourAmerican dream: Frank Lampard (left) is in the States with Chelsea for their post-season tour 
Frank Lampard (kushoto) wakiwa zao ziarani nchini Marekani  kujiandaa na msimu wa ligi kuu England.
Up in the air: John Terry had to make do with a seat on the bench for much of last season under Rafa Benitez 
NI NOMA TUPU: John Terry amekuwa katika wakati mgumu sana msimu uliopita na chini ya kocha Rafa Benitez amekalia benchi mno
Up in the air: John Terry had to make do with a seat on the bench for much of last season under Rafa Benitez

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video