Friday, May 17, 2013

Mshambuliaji wa klabu ya PSG ya Ufaransa Jeremy Menez amefungiwa mechi nne kwa kosa la kumtukana mwamuzi wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza(Ligue One) mwezi uliopita.
Chama cha soka nchini Ufaransa kimedokeza kuwa mchezaji huyo alimtukana mwamuzi huyo mara tu baada ya kuoneshwa kadi nyekundu.
Hata hivyo mchezaji huyo atalazimika kusherehekea ubingwa wa ligi pamoja na mashabiki wake jukwaani watakapoialika  Stade Brest  katika mchezo wa ligi Jumamosi wiki hii.
Adhabu yake inataraji kuanza wiki ijayo huku akilazimika kuwa nje ya dimba kwa mechi tatu za kwanza msimu ujao.
Menez alikuwa shujaa wa mechi dhidi ya Olympic Lyon kwa kuifungia goli la pekee lililowapatia ubingwa wa  ligi msimu huu.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video