Wednesday, May 1, 2013

Na Baraka Mpenja kwa Msaada wa Sportsmail.com
Beki wa Chelsea Branislav Ivanovic amevunja ukimya wake juu ya kitendo alichofanyiwa na mshambuliaji wa Liverpool Luis Suarez cha kung`atwa mkono wake mwezi uliopita.
Suarez alifungiwa mechi 10 na chama cha soka nchini Uingereza baada ya kufanya kosa hilo katika mechi ya ligi kuu iliyomalizika kwa sare ya 2-2 dimba la Anfield.
Ivanovic alisema alishangazwa na tukio lile la utata kwake, lakini amemsamehe Suarez na waendelee na mambo mengi ya kimaisha.
Surprised: Branislav Ivanovic says he did not expect to be bitten by Luis SuarezNILISHANGAA: Branislav Ivanovic amesema binafsi hakutarajia kufanyiwa vile na Suarez
Getting stuck in: Suarez is seen biting Ivanovic Suarez alionekana akimng`ata Ivanovic
Ivanovic ameliambia gazeti la Serbia,  Vecernje Novosti kuwa wakati tukio lile likitokea alishangaa sana na kushituka, lakini baada ya mechi kumalizika alitulia na kusahau kilichotoke.
Ivanovic alisema “siku ya kesho yake tuliongea kwa simu na nilikubali msamaha wake, sikumfokea kwa kitedo kile pia sikumtetea”.
Aliendelea kusisitiza kuwa “Kwangu mimi nimemsamehe bure, inaweza kutokea lakini sijali sana”
Showing the signs: Ivanovic (left) shows his arm to referee Kevin Friend after the incident  
Ivanovic (kushoto) alipokuwa aamuonesha mwamuzi wa mchezo Kevin baada ya kung`atwa na Luis Suarez
Moving on: Ivanovic says he accepted Suarez's apology
 Ivanovic amesema amekubali kumsamehe Luis Suarez

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video