Sunday, May 26, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com, Soka In Bongo

JANA Usiku huko New York, Marekani kwenye Uwanja wa Yankee, Manchester City iliwatandika Chelsea Bao 5-3 katika Mechi yao ya pili ya Kirafiki huko USA.
Juzi, wakicheza Mjini St Louis, Man City waliitandika Chelsea Bao 4-3 licha ya kutanguliwa Bao 3-0.
MAGOLI:Man City 5-Barry Dakika ya 3, -Nasri 29 & 74, -Milner 55, -Dzeko 84, kwa upande wa, Chelsea -Ramires Dakika ya 46 & 69, -Mata 82
Hii ndio Mechi ya mwisho kabisa kwa Kocha wa Muda wa Chelsea, Rafael Benitez, ambae alikuwa hapo Stamford Bridge kuanzia Novemba baada ya Roberto Di Matteo kutimuliwa.
Katika Mechi hii Chelsea walijikuta wako nyuma mapema tu katika Dakika ya 3 tu baada ya makosa ya Kipa Hilario na Oscar na kumzawadia Gareth Barry kufunga kilaini.
Hadi Mapumziko Chelsea walikuwa nyuma kwa Bao 2-0 baada Nasri kuifungia City Bao la Pili.
Kipindi cha Pili kilianza kwa Ramires kuifungia Bao Chelsea na kufanya Mechi iwe 2-1 lakini Milner akaipigia Bao City kwa shuti lililomshinda Kipa Petr Cech alieingizwa badala ya Hilario.
Alikuwa Ramires tena aliefunga Bao la Pili kwa Chelsea na gemu kuwa 3-2 lakini Dakika 5 baadae Nasri akapiga Bao la 4 kwa City baada ya uzembe wa Mabeki.
Frikiki safi ya Juan Mata iliwafanya Chelsea wapate Bao la 3 na Mechi kuwa 4-3 lakini Dakika 2 tu baadae City wakafunga Bao lao la 5 kwa kigongo kikali cha Edin Dzeko na kuifanya Mechi imalizike 5-3.
Defiant: Fernando Torres believes Rafa Benitez has improved Chelsea as a team  
Fernando Torres anaamini kocha Rafa Benitez ameimarisha sana kikosi cha Chelsea katika muda wake
In action: Torres (right) and Chelsea played their second fixture against Manchester City in the USA 
MOTO UNAWAKA: Torres (kulia) wa Chelsea alicheza jana katika mechi ya kirafiki dhidi ya Man City nchini Marekani

In action: Torres (right) and Chelsea played their second fixture against Manchester City in the USA 
Raha za ushindi nchini Marekani, si mchezo kwa kweli
Trophy hunter: Benitez helped the Blues to the Europa League earlier this month  
Benitez amewasaidia Chelsea kubeba kombe la ligi ya Uropa na sasa mkataba wake amemalizika huku ikisemekana kocha mwenye maneno mengi Jose Mourinho anaweza kurithi mikoba yake
VIKOSI:
Manchester City: Hart; Kompany (Nahodha), Zabaleta, Kolarov, Boyata; Nasri, Barry, Silvaa, Toure; Aguero, Tevez
Chelsea: Hilario; Luiz, Azpilicueta, Christensen, Ake; Ramires, Oscar, Obi Mikel, Loftus-Cheek; Ba, Torres (Nahodha)

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video