Sunday, May 26, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Hakika Wajerumani si mchezo katika soka,  fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya  imepigwa katika dimba la Wembley jijini London usiku huu ambapo kwa mara ya kwanza timu mbili kutoka Ujerumani zimekutana katika mechi kali na ya kusisimua baina ya wekundu wa kusini mwa ujerumani Bayern Munich na nyuki wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo Borrusia Dortmund.
Ilikuwa bonge la mechi, kiukweli ni moja ya fainali nzuri kuwahi kutokea katika historia ya fainali ya UEFA.
Kwa kawaida mechi nyingi za fainali huwa zinapigwa mpaka dakika 120 mpaka mikwaju ya penati kama ilivyokuwa kwa mwaka jana ambapo Chelsea waliifunga Bayern, lakini fainali ya leo imepigwa ndani ya dakika tisini.
Winga hatari wa FC Bayern Mholanzi Arjen Robben ameipatia klabu yake zawadi kubwa sana ya kutwaa ubingwa msimu huu baada ya kufunga bao la pili na la ushindi katika dakika ya 88 ya kipindi cha lala salama.
Bao hilo limetokana na kazi nzuri ya winga mwenye kasi zaidi Frank Ribery aliyempa pasi nzuri Robben na kupachika bao kiufundi zaidi.
Ubingwa leo ni watano kwa Bayern ambao katika misimu minne wamecheza mechi tatu za fainali bila mafanikio.
Bao la Robben limemfanya atoe machozi kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza penati msimu wa mwaka jana na kuwanyima ubingwa Bayern, lakini leo bao lake limekuwa dhahabu kubwa sana kwa mashabiki wa klabu yake.
Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia DortmundMABINGWA WAPYA: Bayern Munich wamefanikiwa kuwa mabingwa mara tano wa UEFA baada ya kuwakwanyua Borrusia Dortmund usiku huu.
Top of the pile: Bayern Munich are the Champions of Europe for a fifth time after beating Borussia Dortmund 
Ni shangwe kubwa sana kwa wachezaji wa Bayern baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA usiku huu
Arjen Robben
Arjen Robben
Robben akinyanyua mwari wa UEFA, hakika ametafuta sana
Big chances: The first-half was the tale of two goalkeepers with Roman Weidenfeller denying Arjen Robben twice, and Munich stopper Manuel Neuer keeping Robert Lewandowski out 
ILIKUWA NAFASI NZURI: Kipindi cha kwanza kipa Roman Weidenfeller wa Borrusia alimnyima Robben nafasi ya kufunga wakati huo huo Manuel Neuer wa Bayerna nae alimnyima nafasi ya kufunga Robert Lewandowski
Champions League final 
Robben alipoteza nafasi moja muhimu sana kipindi cha kwanza baada ya kupiga mpira na kumgonga kipa usoni bila kutegemea
Champions League final
Controversy: Franck Ribery escaped punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face 
MATATA: Franck Ribery alipona kupata adhabu baada ya kuonekana baada ya mkono wake kumpiga Lewandowski  katika paji la uso
Controversy: Franck Ribery was lucky to escape punishment when his flailing arm caught Lewandowski in the face
Arjen Robben
Arjen Robben 
Robben akishangilia bao lake la ushindi usiku huu

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video