Tuesday, May 7, 2013

Na Baraka Mpenja Kwa msaada wa Sportsmail.com
Msimu wa ligi kwa nahodha machachari wa majogoo wa jiji, klabu ya Liverpool,  Steven Gerrard umefikia ukingoni baada ya kuthibitishwa kuwa nyota huyo anafanyiwa upasuaji  sehemu ya bega wiki hii.
Gerrard alitakiwa kufanyiwa upasuaji baada ya msimu kumalizika lakini klabu yake imesema imeamua kumfanyia zoezi hilo baada ya majeraha yake kuendelea kuwa makubwa.
Zoezi hilo la upasuaji litamfanya nyota huyo kukosa michezo miwili ya ligi kuu Engalanda na mchezo wa kirafiki kati ya timu ya taifa ya Uingereza dhidi ya Brazil mwezi ujao, pia atakosa mchezo dhidi ya Jamhuri ya Ireland mei 29 mwaka huu uwanjani Wembley.
Gerrard itahitaji miezi sita hadi nane kupona na Liverpool inatarajia kumtumia katika mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu.
Under the knife: Gerrard's season is over and he will have the operation on his shoulder later this week Msimu wa ligi kwa Gerrard umefikia tamati
 Ratiba ambayo Gerrard atakosa
May 12 – Fulham v Liverpool

May 19 – Liverpool v QPR
May 21 – Ajax Cape Town v Liverpool
May 29 – England v Republic of Ireland
June 2 – Brazil v England

Liverpool walitangaza jana kuwa watacheza mechi ya kirafiki ya kumalizia msimu dhidi ya Ajax Cape Town.
Recovery: It is expected that Gerrard will be fit for the start of pre-season training 
Kupona:  Baada ya wiki sita hadi nane na ataonekana katika maandalizi ya ligi kuu England Msimu ujao.
Challenging: Carragher feels Liverpool can make a better challenge for a Champions League place next year

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video