Thursday, May 23, 2013

mtwara-ambulance-manispaa-moto 
Gari ya kubebea wagonjwa Ambulance inaonekana kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa katika vurugu zilizoripotiwa kutokea mkoani  Mtwara  mtwara-vurugu 
Moto ukiwa umeshawashwa baadhi ya maeneo ya Mtwara na kusababisha uharibifu wa mali mtwara-vurugu-magari-yachomwa-moto 
Magari yanayosemekana kuwa ya Halmashauri yakiwa yamechomwa moto na waanchi wa Mtwara ofisi-moto-mtwara 
Majengo yanayotajwa kuwa ofisi zimechomwa moto

Vurugu hizi zimetokea siku chache baada ya Wizara ya Nishati na Madini kusema kuwa bomba la gesi linajengwa  kutoka Mtwara kwenda Dar es salaam  na leo hii Wananchi wa Mtwara wacharuka!
Tukio hili liliendela wakati bajeti ya nishati na madini ikiendelea kujadiliwa  Bungeni.
Endelea kuwa nasi mpaka hapo baadae ambapo tutaweza kukujuza zaidi kile ambacho kinaendelea kutukia Mtwara.
CHANZO NI SWAHILI BLOG VIA JAMII FORUMS

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video