Wednesday, May 1, 2013

Na Baraka Mpenja kwa Msaada wa Sportsmail.com
Baada ya kipute cha jana baina ya Real Madrid dhidi ya Borussia Dortmund kumalizika kwa Madrid kushinda kwa mabao 2-0 na kutolewa kwa wastani wa mabo 4-3 kufuatia kipigo cha 4-1 nchini Ujerumani, leo ni leo tena ambapo FC Barcelona wanahitaji kufuta kipigo cha 4-0 Allianz Arena katika mchezo wa leo usiku dimba la Camp Nou.
Katika mchezo wa jana usiku nyota wa Madrid Mreno Cristiano Ronaldo alishindwa kuibeba timu yake katika dimba la Santiago Bernabeu, leo pia macho ya mashabiki wa soka duniani ni juu ya mchezaji bora wa FIFA mara nne mfululizo Lionel Andrew Jorge Messi ambaye atawaongoza wakatalunya kufuta kipigo kizito cha 4-0 kutoka kwa wekundu wa kusini mwa ujerumani, FC Bayer Munich.
The best ever? Lionel Messi is key to Barca's hopes of an unlikely come back against Bayern Munich 
Mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea duniani Lionel Messi ndio tegemeo kubwa kwa Barca leo hii kufuta kipigo kutoka kwa Munich.
Anxious wait: Sergio Busquets' fitness is in doubt for Wednesday's crucial match against Bayern Munich 
Sergio Busquet hali yake ipo mashakani kucheza mchezo wa leo kufuatia kusumbuliwa na majeruhi
 
Impossible task? Barca are already trailing 4-0 from the first leg 
KAZI ISIYOWEZEKANA: Barca wamejiandaa kushinda na kucheza fainali leo 
Under pressure: Barca coach Tito Vilanova will have to inspire a significant turnaround 
AKIWA NA PRESHA: Kocha wa Barca Tito Vilanova  sijui kama ataweza kufuta kipigo cha mchezo wa kwanza
Dangermen: Lionel Messi and Alexis Sanchez have the potential to truly threaten Bayern 
WATU HATARI SANA: Lionel Messi na Alexis Sanchez wanatarajia kuibeba Barca mbele ya Bayern
Replacement? Alex Song could start if Busquets is declared unfitMABADILIKO:  Alex Song anaweza kuanza endapo Busquets hatakuwa fiti kabisa 
Masterful: Xavi is responsible for making Barcelona tick 
 Xavi ana wajibu mkubwa wa kusiadia timu yake leo
Experienced: Barca have won all there is
Talented: Barcelona's squad still remains the best in EuropeWACHEZAJI WENYE VIPAJI VIKUBWA: Barcelona ndio timu bora zaidi barani ulaya kwa sasa
Composed: But Gerard Pique may need more than that against Bayern 
Gerard Pique anatakiwa kucheza kwa kiwango kikubwa zaidi ya kile cha UjerumaniDownbeat? But Andres Iniesta is another exceptional player 
Andres Iniesta ni moja kati ya wachezaji wenye vipaji vikubwa zaidi duniani

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video