Sunday, May 19, 2013

Na Baraka Mpenja wa kwa msaada wa Sportsmail.com
KLABU ya Arsenal itaiwakilisha London Kaskazini katika Ligi ya Mabingwa msimu ujao baada ya kushika nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu ya England – lakini Tottenham wamebaki na maumivu baada ya kuamini walinyimwa penalti za wazi White Hart Lane.
Timu ya Arsene Wenger, Arsenal imetinga Ligi ya Mabingwa kwa mara ya 16 na kujipatia kitita cha Pauni zisizopungua Milioni 25, baada ya kuifunga Newcastle 1-0 bao pekee la Laurent Koscielny dakika ya 51 Uwanja wa St James Park. Sunderland nayo ilishinda 1-0, dhidi ya Sunderland bao pekee la Gareth Bale dakika ya 89.
Laurent Koscielny aliifungia Arsenal Bao pekee na la ushindi katika Dakika ya 52 na kuipa Arsenal Nafasi ya 4 na hivyo kucheza UCL Msimu ujao.
Time to celebrate: Arsenal celebrate in front of their supporters at St James' Park  
Sherehe ya timu: Arsenal wakishangilia na mashabi wao katika dimba la St James Park baada ya kupata ushindi
Arsenal
 Msimamo wa timu za juu baada ya michezo ya leo
Table  
Nao Tottenham Hospurs leo hii wamepata nafasi ya kucheza ligi ya Uropa msimu ujao baada ya kushinda mchezo wa leo huku Gareth Bale.
Master blaster: Bale caps off a spectacular season with yet another superb strike, but it isn't enough for Champions League glory 
Bale akifunga bao lake alilofunga leo hii, lakini halijatosha kuwapa nafasi ya kucheza ligi ya mabingwa barani ulaya msimu ujao
One small step for Bale: But no giant leap for Tottenham, who will have to focus on the Europa League again 
Bale akishangilia bao lake linaloiwezesha Spurs kucheza Europa League msimu ujao
Euro millions: Arsenal defender Laurent Koscielny scores at St James' Park to give the Gunners some breathing space in the battle for fourth (then celebrates with team-mates below) 
Mamilioni ya Euro: Beki wa Arsenal, Laurent Koscielny akiifungia timu yake bao pekee Uwanja wa St James Park
Mobbed: Arsenal team-mates Aaron Ramsey, Santi Cazorla and Bacary Sagna join Koscielny to celebrateAkipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal, Aaron Ramsey, Santi Cazorla na Bacary Sagna
Cheeky slap: Cazorla congratulates his team-mate on the goal
Cazorla akiwapongeza wenzake
 
Spurs fans look away now: The final table shows Arsenal ahead in the vital fourth spot

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video