Saturday, May 25, 2013

Na Baraka Mpenja kwa Sportsmail.com

Washika bunduki wa jiji la London chini ya kocha Mfaransa Mzee Arsene Wenger wanapanga kuvunja benki ili kumsajili nyota wa Manchester United Wayne Rooney ili kuimarisha safu yao ya ulinzi baada ya kuondokewa na aliyekuwa nahodha wao Robin Van Persie aliyejiunga na United.
Mtandao wa Sportmail  amebaini kuwa Arsenal wameonesha utayari wa kumnasa Rooney ambaye msimu wa ligi England uliomalizika mei 19 hakuwa na mahusiano mazuri na kocha wake kibabu Alexndar Chapman Ferguson aliyestaafu kuifundisha united na mikoba yake kukabidhiwa kwa aliyekuwa kocha wa Everton David Moyes.
Endapo Rooney atakubali kumwaga wino kwa wakali hao wa London kaskazini, atalipwa msharahara wa pauni laki mbili na nusu kwa wiki.
Nyota huyo amebakiza miaka miwili katika mkataba wake na United, kitita ambacho Arsenal wanatarajia kumlipa inasemekana kinaweza kumvutia na kumwaga wino Emirates.
Outbound? Wayne Rooney is believed to want a move away from Old Trafford
Wayne Rooney anasemekana anataka kuihama United
Endapo Rooney atasaini mktaba na Arsenal kwa mshahara unaotajwa basi atakuwa mchezaji ghali zaidi katika klabu ya Arsenal.
Nyota wa Arsenal Lukas Podolski na Theo Walcott kwa sasa ni wachezaji wanaolipwa kiasi cha pauni laki mbili kwa wiki, lakini kama Rooney atasaini atalipwa pauni milioni laki mbili na nusu.
Main man: Rooney has been forced to play second fiddle to Robin van Persie since his arrival from Arsenal  
Rooney amepata wakati mgumu sana baada ya RVP kujiunga na United akitokea Arsenal

Main man: Rooney has been forced to play second fiddle to Robin van Persie since his arrival from Arsenal
Strengthening: Arsene Wenger is looking to improve his Arsenal squad to kick on from this season  
Anataka kuimarisha kikosi:  Kocha wa Arsene Wenger anatafuta wachezaji kwa kuimarisha kikosi chake

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video