Friday, May 17, 2013

Na Baraka Mpenja Kwa msaada wa Sportsmail.com
Walikuwa wote Chelsea mwenzake kafukuzwa, kapewa timu akiwa meneja mkuu katimuliwa na Abramovich, sasa mwenzake Mourinho anakuja kuchukua mikoba ya Rafa Benitez, yeye ni kocha wa Spurs.
Haitoshi leo hii imempa shavu kubwa mreno mwenzake na sifa nyingi, anataka nayeye arejee darajani akiwa msaidizi wa msema ovyo au vipi?.
Kocha wa Tottenham Hospur na aliyefukuzwa kazi na mmiliki wa klabu ya Chelsea ya London, Roman Abramovich, Mreno Andre Villas-Boas amesema klabu yake hiyo ya zamani itanyakua ubingwa wa ligi kuu soka nchini Uingereza chini ya kocha Mario Jose Dos Santos Ferlix Mourinho anayeifundisha Real De Madridi kwa kwasasa, lakini anasemekana kukubali kurudi England tangu aondoke 2006 darajani.
Villas-Boas aliyefanya kazi na Mourinho akiwa Chelsea na Inter Milani anaamini Mreno mwenzake mara atakaporejea darajani ataibadilisha timu ya Chelsea na kuwa kisima cha burudani na ushindi kwa mashabiki wake.
AVB aliongeza kuwa Mourinho atabadili umiliki wa timu za jijini Manchester, yaani Manchester united na Manchester City ambazo  zinashindana zaidi kutafuta ubingwa wa England kuliko timu za London, Chelsea, Arsenal, Tottenham na Arsenali.
AVB alisema, “Nafikiri Chelsea itakuwa timu ya kuzifunga timu nyingi msimu ujao, Mourinho atakuja kuijenga timu bora zaidi na itaipa nafasi ya kuwa na kikosi bora hivyo watashinda taji la ligi kuu”.
“Lakini mwaka ujao utakuwa mwaka mzuri kwa Chelsea kama viongozi wa juu ataamua kufanya maamuzi mazito ya kumchukua kocha huyo mwenye sifa nyingi”. Aliongeza AVB.
Akizungumzia timu yake ya Spurs, AVB alisema hajui nini kitatokea msimu huu, lakini viongozi wa klabu hiyo wajue kuwa wanahitaji kuboresha kikosi kwa kusajili wachezaji wazuri zaidi ili kuzipa changamoto timu za juu.
“Nafikiri kama nikiifikisha timu nafasi ya nne itakuwa nzuri zaidi na nitakuwa nimefikisha mahitaji ya klabu yangu ambayo ni kucheza ligi ya mabingwa barani ulaya”. Alisema Villas-Boas.
Tip from the top: Tottenham manager Andre Villas-Boas (left) says Chelsea will win the title next year 
Kocha wa  Tottenham  Andre Villas-Boas (kushoto) anasema  Chelsea atatwaa ubingwa msimu ujao
Special one: Jose Mourinho is poised to return to Chelsea after a tumultuous spell at Real Madrid MTAALAMU PEKEE: Jose Mourinho akiwa katika pozi maridhawa na sasa anarudi baada ya kuamua kuachana na Real Madrid
Fans have spoken: Chelsea supporters held banners in support of his potential arrival in AmsterdamMASHABIKI WAMESHASEMA: Mashabiki wa Chelsea waliofika nchini Uholanzi katika uwanja wa Amsterdam Arena kuishangilia timu yao kwenye mchezo wa fainali ya ligi ya Uropa dhidi ya Binfica ambapo walishinda mabao 2-1 na kutwaa ubingwa huo wa ulaya walikuwa na mabango yanayoonesha kumhitaji Jose Mourinho darajani, imebaki kwa bilonea Roman Abramovich kutimiza maneno hayo.
Old friends: Villas-Boas (centre left) and Jose Mourinho (second from left) were at Chelsea together  
MARAFIKI WA ZAMANI WA MOURINHO: Villas-Boas (katikati kushoto) na Jose Mourinho (wapili kutoka kushoto) walipokuwa Chelsea pamoja
 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video