Saturday, April 27, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com

Hatimaye beki wa Chelsea John Terry amewashangaza wengi baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yupo tayari kurudi timu ya taifa ya Uingereza maarufu kama “Simba watatu”.
Kwa mujibu wa gazeti la Sportsmail nahodha huyo wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza, Terry alijiondoa katika kikosi hicho baada ya chama cha soka nchini humo FA kumshutumu kwa tuhuma za ubaguzi wa rangi mwezi septemba mwaka jana dhidi ya mdogo wake Rio Ferdinand namzungumzia Anton Ferdinand, lakini sasa amesema yupo tayari kuitwa na kocha Roy Hodgson.
Terry aliongeza kuwa kwasasa amejiandaa kucheza nafasi ya ulinzi na Rio Ferdinand endapo wote wataitwa kuunda kikosi cha simba watatu.
Return: John Terry will make himself available for England duty having not played since last SeptemberAnarudi tena: John Terry ametangaza kukubali kucheza timu ya taifa ambapo hajacheza toka mwezi septemba mwaka jana. 
England's John Terry
England's John Terry
 Hii inamaanisha Hodgson ambaye mwaka jana katika fainali za mataifa ya ulaya alimwacha Ferdinand na kumuita Terry, kwa sasa anaweza kuwaita nyota hao wawili na wakacheza pamoja safu ya ulinzi dhidi ya Jamhuri ya Island, mchezo utakaopigwa mei 29 kuwania kufuzu fainali za kombe la dunia zitakazoanza kutimua vumbi mwezi juni 2014 nchini Brazil.
John Terry Rio Ferdinand
John Terry Rio Ferdinand
  Terry  anajiandaa kucheza na Rio Ferdinand licha kuwepo mgogoro na mdogo wake Rio, Anton Ferdinand (Hapo chini)
John Terry and Anton Ferdinand 
Tukio linginie ambalo Terry alifanya mapema mwezi huu ni kugoma kumsalimia mwenyekiti wa chama cha soka nchini Uingreza FA, lakini sasa yupo tayari kurejea timu ya taifa.
Terry alitangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa baada ya kutuhumiwa kutumia lugha ya kibaguzi dhidi ya Anton Ferdinand
Snub: Terry refused to shake the hand of FA chairman David Bernstein earlier this month Dharau kubwa: Terry aligoma kushikana mkono na mwenyekiti wa FA  David Bernstein mapema mwezi huu.
Snub: Terry refused to shake the hand of FA chairman David Bernstein earlier this month 
Terry baada ya kupata tuhuma hizo alifikishwa katika mahakama ya Westminster Magistrates ambapo mahakama hiyo ilimwachia huru kwa kutokutwa na kesi ya kujibu wakati FA ilimhukumu kifungo cha kutocheza mechi nne na faini ya Uro laki mbili na ishirini.
Mechi ya mwisho kwa Terry kucheza na timu ya taifa ni ile aliyoanzia benchi dhidi ya Moldova kuwania kufuzu fainali za kombe la dunia mwezi septemba mwaka jana na walishinda bao 5-0.
Sidelined: Terry has often had to settle for a place on the bench with Chelsea this season 
Terry msimu huu katika klabu yake ya Chelsea mara nyingi amekuwa akisugua benchi
Sidelined: Terry has often had to settle for a place on the bench with Chelsea this season 
Kocha wa England Hodgson alimjumuisha  Terry kikosini badala ya Rio Ferdinand katika fainali za kombe la mataifa ya ulaya.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video