Saturday, April 27, 2013

a
Red Coast, Abajalo, Friends Rangers zafuzu hatua ya Kanda
Ligi Daraja la Pili mkoa wa Dar es Salaam hatua ya sita bora imemalizika leo kwa timu tatu za Red Coast,  Abajalo na Friends Rangers zimefuzu kucheza hatua ya Kanda.
Katika mechi iliyochezwa Makurumla, Friends Rangers iliifunga Sharif Stars mabao 2-0. Mabao hayo yamefungwa na Khatib Kuduku katika dakika ya 12 na Mwenda Athuman katika dakika ya 57.Kwa matokeo hayo Rangers imefikisha pointi 8.
Kwenye uwanja wa Kinesi Red Coast wameibuka na  ushindi wa bao 1-0.Bao hilo limefungwa dakika ya 32 na Rafael Mapunda. Kwa matokeo hayo Red Coast wamefuzu hatua hiyo kwa kujikusanyia pointi 11 wakiwa vinara wa ligi hiyo.
Abajalo nao wamefuzu hatua hiyo baada ya kuichapacha Boom FC mabao 2-0. Hata hivyo mechi hiyo ilivunjika kutokana na wachezaji watatu wa Boom FC kutolewa kwa kadi nyekundu.Abajalo imeweza kufuzu baada ya kujikusanyia pointi 10.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video