Wednesday, April 24, 2013

Klabu yenye pesa zake Chelsea ya jijini London inaamini imeshinda mbio za kuwania saini ya mshambuliaji wa Atletico Madrid, Radamel Garcia Falcao Zarate, ambaye kila anapolala anaota mabao.
Mazungumzo wakala wa nyota huyo wa Colombia, viongozi wa Atletico na kalbu ya Chelsea yamekuwa yakiendelea kwa miezi kadhaa sasa, lakini Chelsea wanafikiri wako karibu kumsajii.
Chelsea sasa wanaonekana kuacha na mpango wa kutaka kumsainisha Edinson Cavan baada ya kuwepo dalili za kumkamata Falcao ambaye anaotwa kila siku na vijana hao wa Darajani.
We've got our man: Chelsea believe they are on the verge of completing a deal for Radamel Falcao
Falcao anatisha kwa mabao na kama mashine hii itawasili jijini London msimu ujao wa ligi, mabeki wa timu za Uingereza wajiandaa kukabana na mtu mataalamu na wasipojiangalia watamwaga unga kazini kwao.
On target: Falcao celebrates scoring against Sevilla in a La Liga match on Sunday
Shangwe kubwa: Falcao akishangilia baada ya kufunga dhidi ya Sevilla kwenye La Liga Jumapili
On target: Falcao celebrates scoring against Sevilla in a La Liga match on Sunday
Mmiliki wa Chelsea mwenye jeuri kubwa ya pesa, Roman Abramovich ameridhia kumpa mshahara wa Pauni 200,000 kwa wiki mchezaji huyo na pia atatoa kiasi cha Pauni milioni 46 ambazo Atletico inataka kama dau la kumuuza nyota wake huyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video