Saturday, April 27, 2013

Na Baraka Mpenja
Mtu mwenye rangi nyeusi kutoka nchini Afrika kusini Steven Pienaar amegeuka lulu kwa klabu yake ya Everton baada ya kufunga bao pekee katika mchezo wa ligi kuu soka nchini England dhidi ya Fullham.
Pienaar aliandika bao hilo kimiani katika dakika ya 16 ya kipindi cha kwanza akipokea pasi nzuri kutoka kwa Seamus Coleman.
Baada ya nyota huyo kufunga alipandisha jezi yake kama anavyoonekana pichani chini na kuonekana maneno “GOD IS GREAT” kwa tafsiri isiyo rasmi ” MUNGU MKUBWA”.
God is great: Steven Pienaar showing off his spiritual side after his goal 
Mungu Mkubwa: Steven Pienaar akionesha imani yake kwa mungu kumpa goli pekee
Vital: Everton have kept up the pressure on Tottenham in fifth after this winKikosi cha Everton leo: Howard, Coleman, Jagielka, Distin, Baines, Mirallas, Osman, Fellaini, Pienaar, Jelavic (Barkley 67), Anichebe.
Wachezaji wa akiba: Mucha, Hibbert, Heitinga, Oviedo, Naismith, Duffy.
Goli: Pienaar 16.
Kadi ya njano: Osman

Kikosi cha Fulham: Schwarzer, Manolev, Senderos, Hangeland, Richardson (Duff 56), Emanuelson, Karagounis (Rodallega 77), Enoh, Kacaniklic, Ruiz, Berbatov (Petric 30).
Wachezaji wa akiba: Etheridge, Frimpong, Hughes, Frei.
Kadi ya njano: Enoh, Emanuelson.
Mwamuzi: Jon Moss.
Wasted: Dimitar Berbartov fails to convert one of Fulham's precious chances  
Dimitar Berbartov akishindwa kutumia nafasi moja nzuri aliyoipata katika mchezo wa leo 
Eager: Everton's Nikica Jelavic lunges at the ball beflore Fulham's Giorgos Karagounis  
Nyoka wa Everton Nikica Jelavic  akimhadaa mchezaji wa Fulham Giorgos Karagounis

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video