Tuesday, April 23, 2013

Episode 4 winnersMashindano makubwa na mazuri ya GUINNESS® FOOTBALL™ CHALLENGE yamekuwa yakiwasisimua na kuwafurahisha watazamaji wake kwa wiki tano zilizopita.Sasa mashindano ya Pan-African yataanza kuoneshwa katika televisheni za ITV na Clouds TV kuanzia kesho tarehe 24 April, 2013 saa 3:15 ITV na 2:15 Clouds TV. Sasa timu kutoka Cameroon, Ghana, Uganda, Kenya na Tanzania zitakutana uso kwa uso kushindana ili kujua ni nani ana maarifa zaidi na ujuzi wa kusakata kabumbu,  hata kuvishwa ubingwa wa Pan-African.
 Washiriki kutoka Afrika yote waliowashinda wapinzani zao ili kuwakilisha nchi zao sasa watakutana na timu bora za Pan-African ambazo zina maarifa na ujuzi zaidi. Katika hatua hii ya robo fainali washiriki wanawania kushinda hadi dola za Kimarekeni 250,000.
 Kila timu sasa itacheza kuwakilisha nchi yake na kuonesha uwezo wao katika kusakata kabumbu. Washiriki watahitaji kucheza vizuri kwa kiwango cha juu katika mchezo ili kujipa nafasi ya kushinda mashindano haya na kufanya nchi zao kujivunia.
Timu nne zitakazo shiriki katika robo fainali ya kipindi cha kwanza ni: 
  • Gregory DoamekpornaKyei Edmond Nana, wenyeumriwamiaka 21 kutokaAccra,Ghana.Hawawalikuwawashindikatikasehemuya kwanza ya GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE Ghana.Gregory nimwanafunziwaSaikolojianandiyekichwa cha timuwakatiKyeinimwanafunziwaMahusianoyajamii,atakuwaanachezeampira.
  • Timukutoka Uganda itakuwepopia, IbraKawooya(30)na Alex Muyobo(31),wotemashabikiwaMan.United, Ibraatakuwakichwa cha timuwakati Alex atachezauwanjani.
  • Kutoka Cameroon watakuwaEmerandTchouta(24) na Abdul Salam(25).Emerandatakuwakichwa cha timunaAbdul ataoneshauwezowakusakatakabumbu.Japowalifanikiwakuondokanadola 1,500tulakiniwalioneshakiwangokizurihivyowananafasikubwayakushinda.
  • Timunyinginekutoka Kenya Francis Ngigi(23) kutoka Nairobi naKephaKimani(25)kutokaThika.Timuhiiilishindadola 3,000katikamashindanoya GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE.Francis atakuwakichwa cha timuwakatiKephaataoneshakipajichake cha kuchezasoka.
 Meneja wa kinywaji cha Guinness, Davis Kambi alisema: “Tumeona timu mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali zilishindana kufikia hatua ya robo fainali ya Pan-African- GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE na sasa tunafurahia kuona timu zetu bora katika hatua za mwisho. Kila timu imeiwakilisha vizuri nchi yake na wamefanya vizuri katika mashindano haya kwa kujiamini. Sasa timu zote zina nafasi ya kuthibitisha uwezo wao wa kucheza na si kuangalia tu pale watakapo shindana ili kufikia nusu fainali.Tunasubiri kwa hamu na kuzitakia timu zote kila la heri!”
 Robo fainali ya kwanza ya Pan-African itaoneshwa katika televisheni za ITV na Clouds TV kwa hiyo hakikisha unaangalia na kuishangilia timu ya taifa lako.
Wapenzi wa kipindi hiki cha Guiness football challenge barani Afrika wanakumbushwa kwamba nao wanaweza kushiriki kwa kufuatilia kwa karibu.   Wanaweza kufanya hivyo kwa kujisajili  bure kabisa katika tovuti ya m.guinnessvip.com kwa kupitia simu ya mkononi.  
 Hakikisha kuufwatilia ukurasa wa facebook wa GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE kwa habari mbalimbali.
 GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE, ni kipindi cha mchezo wa soka kinachotayarishwa na kampuni ya kimataifa ya Endemol.  Usikose kuangalia na kufuatialia kipindi hiki katika runinga yako kupitia televisheni za ITV na Clouds TV kila siku ya Jumatano usiku.
 Usisahau kuwa na chupa ya bia uipendayo ya  Guiness wakati unaangalia kipindi hiki. 
 Tafadhali kunywa kistaarabu- Hairuhusiwi kuuzwa kwa wale wenye umri chini ya miaka 18.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video