Saturday, April 20, 2013

Mshambuliaji mwenye shabaha kubwa ya kufunga mabao anayekipiga darajani Chelsea raia wa Senegal Demba Ba, amemtaka kocha wake, Rafa Benitez awapange yeye na Fernando Torres katika safu ya ushambuliaji kesho katika mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Liverpool.
Benitez ambaye amekuwa akiwazungusha wachezaji hao katika mfumo wa 4-2-3-1 tangu Ba ajiunge nao kutoka Newcastle Januari mwaka huu, lakini wakicheza pamoja walifanya vizuri kipindi cha pili wiki iliyopita katika Nusu Fainali ya Kombe la FA dhidi ya Manchester City.
Benitez anakabiliwa na kigugumizi cha kuamua kuhusu kikosi chake, akiwa hana imani na kumuanzisha Torres dhidi ya timu yake ya zamani na kwa kiwango cha Ba inamfanya adharau kabisa, lakini Msenegali huyo amesema wanaweza kucheza pamoja. 
 
Pacha uwanjani? Demba Ba (kushoto) anataka kucheza pacha na Fernando Torres katika safu ya ushambuliaji Chelsea
 Aliiambia Evening Standard: “Alipoingia uwanjani akitokea benchi dhidi ya City alinisaidia sana. Tuliwatia misukosuko, hivyo nafikiri tunaweza kucheza pamoja.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video