Kocha Jose Morinho wa klabu ya Real Madrid ya Hispania
kuamua hatima yake mwishoni mwa msimu huu.
Baada ya tetesi kuzagaa kocha huyo Mreno amesema cha muhimu
kuhakikisha anaifikisha timu yake kwenye mafanikio kisha ataangalia mustakabali
wake na uongozi wa klabu hiyo.
Kocha Mourinho ameiwezesha timu ya Real Madrid ambayo ni
bingwa wa mara tisa wa UEFA champions league kutinga nusu fainali ambapo
itakwaana na Borussia Dortmund ya Ujerumani huku Mahasimu wao wakuu Barcelona
wakipambana na mabingwa wa mara nne wa ligi hiyo maarufu ulimwenguni,Bayern
Munich pia ya Ujerumani.
0 comments:
Post a Comment