Saturday, April 20, 2013


https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=fadfb7e120&view=att&th=13e26fdc5386af6c&attid=0.1&disp=inline&realattid=f_hfqna3nz0&safe=1&zw&saduie=AG9B_P8nDams_KBfV7Z-dQcUv9F1&sadet=1366458203519&sads=oZqKMfshBwmxzyUlXncNBd79n6M
Kocha Jose Morinho wa klabu ya Real Madrid ya Hispania kuamua hatima yake mwishoni mwa msimu huu.
Baada ya tetesi kuzagaa kocha huyo Mreno amesema cha muhimu kuhakikisha anaifikisha timu yake kwenye mafanikio kisha ataangalia mustakabali wake na uongozi wa klabu hiyo.
Kocha Mourinho ameiwezesha timu ya Real Madrid ambayo ni bingwa wa mara tisa wa UEFA champions league kutinga nusu fainali ambapo itakwaana na Borussia Dortmund ya Ujerumani huku Mahasimu wao wakuu Barcelona wakipambana na mabingwa wa mara nne wa ligi hiyo maarufu ulimwenguni,Bayern Munich pia ya Ujerumani.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video