Tuesday, April 30, 2013


Na Baraka Mpenja kwa Msaada wa Sportsmail.com
Kocha wa Real Madrid Mreno Mario Jose Dos Santos Ferlix Mourinho bado ana imani kubwa kuwa kikosi chake kitabadili kipigo cha mabao 4-1 walichokipata huko Ujerumani katika mchezo wao wa marudiano dimbani Santiago Bernabeu.
“Timu yangu mara siku zote inafanya vitu vya haki, na inaweza kushinda kwa haki katika mchezo wa leo”. Alisema Mourinho leo hii.
Kocha huyo aliendelea kusema “Tumekubali kuwa Lewandowski alitufunga mabao manne na hatukumfanyia hata faulo mojo. Lakini Dortmund walimfanyia Ronaldo madhambi mara tano tangu mchezo kuanza”.
“Unawezaje kumaliza dakika 90 bila kumfanyia madhambi mchezaji aliyekufunga mabao manne pekee yake, ndio maana nasema timu yangu inacheza kwa haki”. Alisisitiza Mourinho.
Leo hii Madrid wanaingia uwanjani wakiwa na kibarua kizito cha kupindua kipigo cha 4-1 kutoka kwa nyuki wa kaskazini mashariki mwa Ujerumani.
Mabao yote ya Dortmund yalitiwa kambani na Robert Lewandowski lakini Mourinho alisema timu yake haikumkaba vizuri na ndio maana Mpoland huyo hakufanyia madhambi hata kidogo.
Turnaround: Jose Mourinho said his Real Madrid can beat Dortmund despite Robert Lewandowski (below) giving the German side a three-goal aggregate lead 
Jose Mourinho amesema Real Madrid inaweza kuwafunga Dortmund licha ya Robert Lewandowski (chini) kuwapa wastani wa mabao matatu yanayotakiwa kufungwa na Madrid ili kusonga mbele.
Lewandowski Huyu bwana hakufanyiwa hata rafu mojo ndani ya dakika 90 licha ya kufunga mabao manne pekee yake
Best foot forward: Real Madrid's players were put through their paces today ahead of the clash 
Wachezaji wa Real Madrid wakifanya mazoezi kabla ya mchezo wao wa usiku dhidi ya Dortmund uwanja wa Santiago Bernabeu 
Madrid
Photo finish: Sergio Ramos (left) and Xabi Alonso race during today's training session 
Sergio Ramos (kushoto) na Xabi Alonso wakipasha misuli yao leo kabla ya mchezo wao wa usiku
 
DORTMUND
Wakati huo huo kocha wa Borussia Dortmund Jurgen Klopp alisistiza kuwa timu yake haitapaniki hata kidogo kupamana na Real Madrid katika uwanja wao kwani wanajua watakuwa wanahitaji ushindi kwa nguvu zote.
Flopp aliongeza kuwa ushindi wa 4-1 nyumbani ni mkubwa sana na hadhani kama watakubali kuupoteza leo hii mbele ya Mourinho.
Alipoulizwa kama kama timu yake itashinda mchezo wa leo Flopp alisema “No, sina uhakika lakini nadhani hatuwezi”.
Happy chap: Klopp insists his team won't be overwhelmed by the occasion against Real Madrid at the Bernabeu 
Flopp ana uhakika na alisema “Tulicheza na Bayern fainali ya kombe la Ujerumani wakati tayari tukiwa mabingwa. Walihitaji sana ushindi kufuatia kuwa na msimu mbaya, lakini timu yangu ilitulia na kuwapoteza kwa wastani wa maboa 5-2.“Nadhani hata Madrid wataingia na falsafa hii ili kututoa, lakini kama hawa amini hivyo najua watambana sana”. Alisema Flopp.
Laughs all round: Klopp and Ilkay Gundogen at the pre-match press conference at the Bernabeu 
Klopp na Ilkay Gundogen wakiwa katika mkutano kabla ya mechi dimbani Bernabeu
Preparations: Dortmund trained at the Bernabeu tonight ahead of tomorrow's match 
Maandalizi: Dortmund wakifanya mazoezi kabla ya mchezo wao wa leo usiku
Rested: Lewandowski (left) was only used as a late substitute in Dortmund's 2-1 win over Fortuna DusseldorfLewandowski (kushoto)  ambaye aliwafunga Madrid 4 na mechi iliyopita dhidi ya Fortuna Dusseldorf ligi kuu soka nchini Ujerumani “Bundesliga” alipumzishwa kwa ajili ya kipute cha leo.
Jogging: Marco Reus (left) and Mario Gotze (right) warm up at training
Wakipasha: Marco Reus (kushoto) na Mario Gotze (kulia) wakipiga jalamba

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video