Sunday, April 28, 2013

Na Baraka Mpenja kwa Msaada wa Sportsmail.com
Kwa mara ya kwanza nyota wa Manchester united na timu ya taifa ya Uholanzi, Robin Van ersie “RVP” atashusha daluga zake katika dimba la Emirates tangu aihame klabu hiyo.
RVP ambaye alifunga mabao matatu “Hat Trick” dhidi ya Aston Villa na kuwapa United ubingwa wa 20 wa ligi kuu soka nchini Uingereza atarejea nyumbani huku akikumbukwa na mashabiki wengi wa Arsenal jijini London.
Nyota huyo alikuwa kipenzi cha wana Arsenal lakini alikataa kusaini mkataba na klabu hiyo kwa madai ya kuhitaji timu ambayo atatwaa kombe ili kujijengee heshima katika maisha yake ya soka.
Na mpaka sasa amefanikisha ndoto zake na sasa anaenda kupambana na watu wake wa karibu majira ya saa 12 jioni ambao alicheza nao kwa miaka 8 na baadaye kuihama kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 24.
Return: Manchester United striker Robin van Persie, seen here waiting with his team-mates for a train to London, will play at Arsenal today for the first time since his £24m move last summerMshambuliaji nyota wa mashetani wekundu, Manchester united, Mholanzi Robin van Persie yeye na wenzake wakisubiri Train mjini London tayari kwa kuelekea dimba la Emirates kuvaana na timu yake ya zamani, washika bunduki wa jiji la London, arsenal.
RVP alisema “Sitarajii hali yoyote tofauti na presha ya mashabiki wa Arsenal, lakini siumizi kichwa hata kidogo kwani katika soka ni kawaida”.
Nyota huyo mwenye uchu wa kupachika mabao mpaka sasa anaongoza kwa kutia gozi kambani akiwa ameshafunga mabao 24 na anaweza kutwaa kiatu cha dhahabu msimu huu akiwa na United.
Msimu wa mwaka jana alifanya hivyo akiwa na Arsenal ambayo aliihama kwa pauni milioni 24 kwa lengo la kutafuta mataji na mwaka huu amepata taji la kwanza nchini humo.
Akizungumza na gazeti la jumapili la The Sun, Van Persie aliongeza kuwa siku zote anawaheshimu mashabiki wa Arsenal na anajua wanavyoipenda timu yao, hivyo hana tatizo nao.
Msimamo wa timu tano za juu baada ya michezo ya jana
Premier League - Top Five
Then and now: Van Persie celebrating a goal in the colours of Arsenal (above) and scoring one of a hat-trick of goals in the 3-0 win over Aston Villa that secured United the title on Monday 
Van Persie akiwa Arsenal enzi hizo na jumatatu ya wiki alifunga “Hat Trick” katika mchezo uliowapa Man U ubingwa wa 20 wakiwa na kocha Mscotish Alexandar Chapman Ferguson maarufu kama Kibabu Fergie.
Robin van Persie scored his and Manchester United's second goal in the 3-0 win against Aston Villa on Monday, a result that secured a 20th league title 
RVP aliendelea kusema kuwa anaangalia mbele tu na leo hii anatarajia kuonana na marafiki zake kwa mara ya kwanza tangu aihame klabu hiyo pamoja na viongozi wake.
Kibabu Sir Alex Ferguson leo hii anaweza kuwapumzisha baadhi ya nyota wale akiwa ameshatwaa ndoo na Van Persie alisema hana uhakika wa kucheza ingawa anapenda kucheza kila mechi ila maamuzi yapo chini ya kocha wake.Scenes we won't be seeing today: Arsenal fans with a message of love for Van Persie in 2009 
Mashabiki wa Arsenal wakiwaonesha bango lenye maandishi yenyen maana ya “TUNAMPENDA VAN PERSIE” katika moja ya mechi alizocheza nyota huyo mwaka 2009
Wakati huo huo kocha wa Arsenal  mfaransa, Wenger anaamini kuwa United ingetwaa ubingwa wake wa 20 mwaka huu bila kuwepo kwa RVP.
Nahodha huyo wa zamani wa washika bunduki wa London, anatajwa kuwa na mchango mkubwa sana katika ubingwa wa United ambao wamewapoke watani wao wa jadi Man city.
Many reasons: Arsenal manager Arsene Wenger insists the goals of Robin van Persie are not the only reason for United's title win
Wenger alisisitiza kuwa mabao ya RVP sio sababu pekee ya united kutwaa mzigo wa ligi kuu msimu huu.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video