Monday, April 29, 2013


http://2.bp.blogspot.com/-tD4GUOwbHrQ/TyUKv4oPMaI/AAAAAAAAIQI/t8ruVHoB2YM/s1600/DSC_0351.JPG
Mabondia Francis Cheka na Thomas Mashali wanataraji kupima uzito hapo kecho tayari kwa kupanda ulingoni mei mosi mwaka huu kuwania ubingwa wa IBF Africa ambao Cheke ni bingwa mtetezi.
Rais wa kampuni ya ngumu za kulipwa Tanzania  na mratibu wa pambano hilo Yasin Abdallah “Ustadhi” ameiambia MICHEZO BOMBA! Kuwa maandalizi kwa ajili ya zoezi hilo yamekamilika na tayri mabondi wate wapo jijini Dar es salaam.
“Wanaume wote wapo Dar na hapo kesho wanapima uzito, hakika mbwembwe za mashabiki wa mabondia hawa zinaleta rah asana, wengine wakimfananisha Cheka na Real Madrid na Barcelona kuwa atapigwa katika raundi ya nne, lakini tusubiri”. Alisema Yasin.
Yasin alisema mshindi wa pambano hilo la ubingw wa IBF litakalopigwa ukumbi wa Sabasaba PTA jijini Dar es salaam atazawadiwa gari aina ya Noah.
Yasin aliwataka mashabiki wa masumbwi na wapenzi wa michezo kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kesho kutwaa kwa ajili ya kushuhudia pambano la kufa mtu kati ya miamba Cheka na Mashali.



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video