Friday, April 26, 2013

Na Baraka Mpenja wa msaada wa sportsmail.com

Baada ya kutwaa ubingwa wa 20 na klabu ya Manchester United, Bosi wa mashetani hao wekundu, Sir Alexandar Chapman Ferguson “Kibabu Fergie” ametajawa tena katika tuzo nyingine ya kocha tajiri zaidi katika soka la England kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na gazeti la Sunday Times.
Ferguson ameshinda taji ya kuwa kocha tajiri zaidi akifuatiwa katika nafasi ya pili na aliyekuwa kiungo wake Old Trafod Roy Keane huku mzee Arsene Wenger akiwa nafasi ya tatu.
Kibabu ametajwa kuwa kocha tajiri zaidi England akiwa na kitita cha pauni milioni 34 katika akaunti yake.
Winning again: Sir Alex Ferguson is top of the 2013 Sunday Times Rich List with a fortune of £34million 
Tuzo nyingine: Sir Alex Ferguson kocha tajiri zaidi kwa mujibu wa orodha ya gazeti la Sunday Times
Other interests: Roy Keane made plenty of money as a player and also works for ITVRoy Keane alitengeneza pesa nyingi akiwa mchezaji na sasa anapata pesa nyingi tena akiwa mtangazaji wa ITV
Ten years at the top: Arsene Wenger is well paid by ArsenalMiaka kumi akiwa juu: Arsene Wenger ndiye kocha pekee anayelipwa dau kubwa zaidi nchini Toughest job in the land? England boss Roy Hodgson is joint 10th
Naye kocha wa timu ya taifa ya Uingereza Roy Hodgson ambaye ana mkataba wa pauni milioni 3 kwa mwaka na chama cha soka England ameingia kumi bora akiwa na kitita cha pauni milioni 12, lakini anazidiwa na kocha aliyemrithi mikoba yake Sven Goran Eriksson aliyejikusanyia pauni milioni 16.
Kocha Manchester City  Roberto Mancini na wa Ireland Giovanni Trapattoni  wameingia pia katika orodha hiyo.
Pia kocha wa muda wa Chelsea Rafa Benitez yupo kwenye orodha hiyo akiwa na kitita cha Pauni milioni 12 licha ya mkataba wake kuwa mwishoni.
Quids in: Rafa Benitez has moved in to the top 10 of the list with £12m 
MAKOCHA TAJIRI ZAIDI WA SOKA(Pamoja na makocha wa zamani wa timu za Uingereza)
Ranking Name Team 2013 wealth 2012 wealth
1 Sir Alex Ferguson Manchester United £34m £32m
2= Roy Keane Ex Ipswich Town and Sunderland £29m £29m
2= Arsene Wenger Arsenal £29m £26m
4= Roberto Mancini Manchester City £21m £18m
4= Giovanni Trapattoni Ireland £21m £20m
6 Sven-Goran Eriksson Ex England and Leicester City £16m £16m
7= Steve Bruce Hull £14m £14m
7= Mark Hughes Ex-QPR £14m £11m
9 Harry Redknapp QPR £13m £12m
10= Rafa Benitez Chelsea £12m New
10= Roy Hodgson England £12m £11m
10= Martin O’Neill Sunderland £12m £10m

Wakati huo huo Lewis Hamilton ametajwa kuwa dereva mwenye kitita kikubwa kuliko wote wa michezo ya Fumula One ambapo ana kitita cha Pauni milioni 60.
Nafasi ya pili imeshikwa na Jenson Button ambaye ana kitita cha  pauni milioni 5
Top three: Lewis Hamilton edges out fellow Brit Jenson Button by one place 
Madereva tajiri zaidi wa  F1 wazaliwa wa Uingerza
Ranking Name F1 Team 2013 wealth 2012 wealth
1 Johnny Dumfries Lotus £110m £110m
2 Eddie Irvine Ferrari £83m £80m
3 Lewis Hamilton Mercedes £60m £55m
4 Jenson Button McLaren £58m £53m
5 Jody Scheckter Ferrari £57m £60m
6 David Coulthard McLaren £53m £50m
7 Nigel Mansell Williams £50m £50m
8 Sir Jackie Stewart Tyrrell £42m £42m
9= Damon Hill Williams £19m £19m
9= Jonathan Palmer Tyrrell £19m £22m
 

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video