Wednesday, January 16, 2013



Balozi wa marekani nchini Tanzania Alfonso  Lenhardt amekabidhi jumla ya dola za kimarekani 97,635 sawa na shilingi za kitanzania milioni 151 ikiwa ni ruzuku kwa mashirika 11 yanayojishugulisha na maendeleo ya jamii nchini.
Balozi huyo wa marekani amesema ruzuku hizo zinalenga kusaidia sekta  ya elimu, maendeleo ya kiuchumi, maji , nishati ya umeme wa jua , wakimbizi na ugonjwa la ukimwi.

Balozi wa Marekani Tanzania, Alfonso  Lenhardt

Mikoa iliyonufaika na ruzuku hizo ni pamoja na Arusha, Geita, kagera, mbeya, mara, njombe na morogoro.

Fedha hizo zimetolewa kupitia Mfuko wa balozi wa kusaidia miradi ya kujitegemea ya jamii ulioanzishwa wakati wa Muhula wa kwanza wa utawala wa mwal JK nyerere
Kwa miaka 47 mfuko huo umesaidia taasisi na vikundi vya kijamii kutoka  kila mkoa wa Tanzania kuboresha maisha ya watanzania huku kipaumbele kikiwa katika kutokomeza ugonjwa wa ukimwi katika maeneo yaliyoathiriwa zaidi.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video